Mwanaume kabla ya kuoa fanya hivi itakusaidia sana.

Mwanaume kabla ya kuoa fanya hivi itakusaidia sana.

Je, unafahamu kitu kinachoitwa 'Pre-marrital Contract' ??????
Ni suala la kuamua wewe mwenyewe juu ya namna ya nami hasa anayetakiwa kuwa mmiliki au mrithi wa Mali zako hata baada ya wewe mwenyewe kufariki dunia. Hata mwenza wako wa ndoa anaweza kukosa haki zote za kumiliki Mali zako ulizochuma wewe mwenyewe peke yako baada ya wewe kufa, ni suala la kupanga, kuamua na kukubaliana tu kati ya wenza kabla ya kuingia au kufunga ndoa yenu. 'Kupanga ni Kuchagua,' Uamuzi ni wako.
usemayo ni kweli kabisaa. Tatizo linaanzia mwanzo mwanamke anajifanya mpole kweli anajifanya anakupenda saana. Mpaka unajisahau kwamba baadaye atakua shetani na hapo ndio wengi wanapo pigwa t.k.o ndugu
 
Wanawake huwa wanifurahisha sehemu moja, “ mwanamke akifanya Jambo kwa mwanaume huwa mnakuja na excuse kibao labda aliyeanza ni mwanaume na n.k, Ila Jambo hilo hilo akilifanya kwa moja wa wanafamilia yake hasa watoto wake! huyo huyo mwanamke mbaya, mchawi na n.k as if yule aliyefanyiwa mwanzo hakuwa binadamu😁🙌🏻🙌🏻
 
Back
Top Bottom