Mwanaume kabla ya kuoa fanya hivi itakusaidia sana.

usemayo ni kweli kabisaa. Tatizo linaanzia mwanzo mwanamke anajifanya mpole kweli anajifanya anakupenda saana. Mpaka unajisahau kwamba baadaye atakua shetani na hapo ndio wengi wanapo pigwa t.k.o ndugu
 
Wanawake huwa wanifurahisha sehemu moja, “ mwanamke akifanya Jambo kwa mwanaume huwa mnakuja na excuse kibao labda aliyeanza ni mwanaume na n.k, Ila Jambo hilo hilo akilifanya kwa moja wa wanafamilia yake hasa watoto wake! huyo huyo mwanamke mbaya, mchawi na n.k as if yule aliyefanyiwa mwanzo hakuwa binadamu😁🙌🏻🙌🏻
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…