Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Kwahiyo wewe ni danga uliyokubuhu na umezeeka Kabisa
Danga ni mamako mzazi
Kama hakuolewa bikra huyo ndio danga wako wa kwanza ndio maana uko na afya ya akili unatukana nitandaoni
Poyeeee
 
Natafuta dola 10,000 kwanza πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Ili tuongee vizuri, lakini punguza kuandika shombo aisee unaonekana bonge la mshamba
Shombo si ndio imekuleta hapa
Harufu imekuvutia
Acha kulia lia
 
🀣🀣🀣
Uzi umekuwa wa kiboya sana etiiii πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Hizi ni mentality za wanawake masikini, wa hali na mali.
 
Majina huumba! Money Penny! Sikujua, Sikudhani, Karume Kenge! Inama nikusweke!!
 
Hizi ni mentality za wanawake masikini, wa hali na mali.
Sasa tajiri huku jamii forum unafanya nini labda?
 
Majina huumba! Money Penny! Sikujua, Sikudhani, Karume Kenge! Inama nikusweke!!
Poyeeee
Naona jiwe limepiga mahala pake
Pole sana.
 
Unaziona mentality zako we Mwanamke
Money Penny
Maskini ni teye aliekuja ku comment
Matajiri siku zote tunaongea ukweli na wanaume hawapendi mwanamke mkweli
 
This is a logical non sequitur fallacy.

Ndiyo maana nikasema una mentality za kimasikini. Kwa hali na mali.
 
🀣🀣🀣
Uzi umekuwa wa kiboya sana etiiii πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Anzishq wako wa maana basi tuje angalau tuku sapoti
Huna hata uzi m1 unambwela mbwela kwa vicheko, ovyo!
 
This is a logical non sequitur fallacy.

Ndiyo maana nikasema una mentality za kimasikini. Kwa hali na mali.
Sawa tajiri
Wacha maskini tuongee ukweli
 
Huu uzi wako ni wa kizembe na kitoto sana aisee hujui umemwandikia nani na kuna wangapi wanaousoma halafu bado unaendelea kupata nguvu ya kujibishana huoni kama unazidi kujiaibisha ?
 
Logical non sequitur fallacy.

Wacheni kuendekeza umasikini na umalaya.
 
Tupo na Mishangazi inayokopesheka siyo wale wa alfu mbili Gen alpha! Pesa before and after use!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…