Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

Aisee!! weka picha yako basi
 
By default asilimia kubwa ya wanawake .. BAADHI hujiweka kuwa high value, ni design flan ya defensive mechanism wanayotumia..

Ndio maana sio kitu cha kushangaza ukamsalimia dem akakuangalia kwa dharau tu! Hata kama hana uzuri uwezo wala hadhi !!
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]Ashindwe yeye tu yaani [emoji1373][emoji1373]
 
Umri wangu umenikosesha Bahati daah, nipe basi hata kazi ya kukukuna tu siwezi shindwa. Natamani ni date na wamama walioko kwenye 35 hadi 40. Age mate wangu kila siku visanga, niruhusu nije nikuondoleebupweke.
 
Kwa kweli ndoa ni kitu kigumu. Una degree mbili na talaka juu? Nadhani wanaoweza kumudu mikiki Miki ya kwenye ndoa ni std 7 Hadi diploma .huko kwingine unanunua matatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Moyo wangu umekudondokea[emoji8]
 
Unaonekana unaakili mingimingi, very nice to you••ila sasa wanaume wengi wanapenda wawazidi wanawwake zao Kwa kila kitu
Mungu akujalie upate Hitaji la moyo wako though 🙏
 
Dah....nguvu za misuli siyo lazima? [emoji2960]
 
Jambo usiloijua usinichukie bango kulitetea....
Mimi sijui hii post ni ya lini lakini ninachotaka kusema jf lilikuwa jukwaa matured wakati linatoka jambo kuwa jamii na siku kadhaa mbele, sasa hivi si jukwaa la weledi tena ni la watoto wengi sijui au limekumbwa na kadhia ya wingi wa smart phones! Hivyo unaweza kuwa serious umeweka hoja yako lakini wanatokea wa kui personalize utadhani wakati unaiandaa mlikuwa wote au walikupa wao mawazo hayo!

Inafikia mahala jukwaa kutokuaminika kati ya mtoa post na mchangiaji huwezi kujua mkweli nani!
 

Alikuwa ameweka vigezo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…