Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
💯🤝 hapo ndo kwenyewe sasaNa ndio maana mara nyingi napenda kuwa nafasi ya ampendaye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯🤝 hapo ndo kwenyewe sasaNa ndio maana mara nyingi napenda kuwa nafasi ya ampendaye
ni kweli matokeo yake ni yy kukuona zoba.Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.
Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.
Utafanikiwa.
Ukishampa pesa mtu inakuwa ni mali yake iweje umpangie matumizi?
😂😂 Hapana
Umekuja kujipoza huku[emoji23][emoji23][emoji23]
Toa muongozo kiaje?Tatizo hatuaminiki
Wale hawakupendi wanapenda pesa zako filisika ndo utajua au usiwape pesa uone kama wataendelea kukushobokea. Utasikia wanasema "yule mkaka mbahiri"Ukiwa na pesa, utapendwa na wanawake.
Huo ndio ukweli.
MTU mmependana ila hamwaminiani....ukipata shida anakuona tapeli kumbe ni shida tu imemfanya aombe msaada na huenda hana tabia ya kuomba ila ndo kapata shida na hana kimbilio lingine.Toa muongozo kiaje?
Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.
Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.
Uta
fanikiwa.
🤣🤣🤣🤣Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.
Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.
Utafanikiwa.
Kwanini wakupende?Wale hawakupendi wanapenda pesa zako filisika ndo utajua au usiwape pesa uone kama wataendelea kukushobokea. Utasikia wanasema "yule mkaka mbahiri"
Kwahiyo bila Mimi angekufa?MTU mmependana ila hamwaminiani....ukipata shida anakuona tapeli kumbe ni shida tu imemfanya aombe msaada na huenda hana tabia ya kuomba ila ndo kapata shida na hana kimbilio lingine.
Asiwe na tabia mfululizo,yaan ukiona hana shughuli mpe mtaji hataweza kukuomba tenaKwahiyo bila Mimi angekufa?
Kakupa utelezi siku 1 tu kaweka mkeka wa shida zake mezani