Mwanaume kila unapoombwa pesa na mwanamke ukitoa unaonekana mjinga

Mwanaume kila unapoombwa pesa na mwanamke ukitoa unaonekana mjinga

Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.

Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.

Utafanikiwa.
ni kweli matokeo yake ni yy kukuona zoba.
 
mawardat Beesmom Kelsea Demi Kalpana kwahiyo mkituomba hela tukawapa, mnaendaga kuzi-spend na wanaume mnaowapenda 😭
Ukishampa pesa mtu inakuwa ni mali yake iweje umpangie matumizi?

Na wewe unampaje mwanamke pesa na unajua hakupendi? Kama sio wako official atakuwa na anayempenda and yes ataspend nae ile pesa uliyompa.
 
Umekuja kujipoza huku[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Lol.
50 cent.gif
 
Toa muongozo kiaje?
MTU mmependana ila hamwaminiani....ukipata shida anakuona tapeli kumbe ni shida tu imemfanya aombe msaada na huenda hana tabia ya kuomba ila ndo kapata shida na hana kimbilio lingine.
 
Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.

Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.

Uta
fanikiwa.

Unaweza ukajiona mjanja mbele za mwanamke kwa kumpa pesa kila anapokuomba kumbe mwenzako anakuona huna akili, unajipendekeza, mjinga, lofa.

Mpe pesa mke wako, mpe pesa mama yako mzazi, mpe pesa dada yako, inatosha. Hao wanawake wengine ambao wanakuomba pesa kwa silaha ya jinsia yao wanyime kila wanapokuomba pesa.

Utafanikiwa.
🤣🤣🤣🤣
 
MTU mmependana ila hamwaminiani....ukipata shida anakuona tapeli kumbe ni shida tu imemfanya aombe msaada na huenda hana tabia ya kuomba ila ndo kapata shida na hana kimbilio lingine.
Kwahiyo bila Mimi angekufa?
Kakupa utelezi siku 1 tu kaweka mkeka wa shida zake mezani
 
Back
Top Bottom