Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila maumbile hayajabadilikaMambo yanabadilika sana, usitake uishi kama alivoishi babu yako akiwa na bibi yako.
Mwanaume simamia misimamo yako, Ili kujenga heshima na future yako na ya familia yakoThe unpaid Seller katika viwango vyako. 100% coreect, sema tatizo wanaume tushakubali kukandamizwa tayari yani.
Hapo nimekupataKuna jambo hujanielewa mkuu, kuna tofauti kati ya mwanamke kutoa msaada na mwanaume kutafuta kuoatmwanamke atakae mpa msaada.
Hakika mwanamke aweza kumsaidia mwanaume kwa mambo kadhaa ila sio mwanaume anaoa ili asaidiwe. Kuna jamaa alikua mpaka anauliza "yule mwanamke anafanya kazi gani nimuoe anisaidie maisha" huu ndio ujinga naoupinga hapa
Sawa mkuu Hapo nimekupataKuna jambo hujanielewa mkuu, kuna tofauti kati ya mwanamke kutoa msaada na mwanaume kutafuta kuoatmwanamke atakae mpa msaada.
Hakika mwanamke aweza kumsaidia mwanaume kwa mambo kadhaa ila sio mwanaume anaoa ili asaidiwe. Kuna jamaa alikua mpaka anauliza "yule mwanamke anafanya kazi gani nimuoe anisaidie maisha" huu ndio ujinga naoupinga hapa
Nani mwanamke mkuu?Mambo yamebadilika kwamba wanawake na nyie mmeota mapumbu siku hizi au wanaume tumeota manyonyo ?
Ni kweli kabisa mkuu. Hawa jamaa ukiwachekea na kuwapa uhuru uliopitiliza umekwisha.Mwanaume simamia misimamo yako,
Ili kujenga heshima na future yako na ya familia yako
Wanaume tunashtuka Siku hizi, wanaume tukomae kujiwekea akiba ya uzeeni, tusijitanue sana kwenye kuhudumia wanawake na watoto pekee bila kujiandalia uzee wetu!Upo sahihi mkuu, furaha ya mwanamke ni kuhudumiwa, kutunzwa na kupendwa hata kama nina milioni kumi ndani, wewe kama baba wa familia unatakiwa utunze familia yako kutokana na uwezo wako.
Una hela ya tembele na ugali toa kwa familia halafu mwanamke sasa ajazie penye upungufu, atoe pesa yake aongezee samaki wakati wewe ushatoa kodi ya meza.
Ukitegemea mwanamke ndiyo alishe familia ni suala la muda tu hakuna mwanamke wa hivyo tangu kuumbwa kwa misingi ya dunia.
Cha msingi kila mmoja asimame katika nafasi yake na atimize majukumu yake, ninacho nitakusaidia busara ikiniongoza lakini usinitwishe majukumu yako.
Nilikusoma text tone na mawazo yako yamekaa kikike kike sasa kama wewe ni mwanaume ohooo hilo nalo ni janga jingine.Nani mwanamke mkuu?
Pamoja mkuuHapo nimekupata
Sawa mkuu Hapo nimekupata
Hakika jukumu la kutunza familia ni la mwanaume. LAKINI PIA MWANAMKE ANAEPASWA KUPENDWA, KUTUNZWA NA KULINDWA NI YULE TU ALIYEKUBALI NAFASI NA MAJUKUMU YAKE YA ASILI.Upo sahihi mkuu, furaha ya mwanamke ni kuhudumiwa, kutunzwa na kupendwa hata kama nina milioni kumi ndani, wewe kama baba wa familia unatakiwa utunze familia yako kutokana na uwezo wako.
Una hela ya tembele na ugali toa kwa familia halafu mwanamke sasa ajazie penye upungufu, atoe pesa yake aongezee samaki wakati wewe ushatoa kodi ya meza.
Ukitegemea mwanamke ndiyo alishe familia ni suala la muda tu hakuna mwanamke wa hivyo tangu kuumbwa kwa misingi ya dunia. Cha msingi kila mmoja asimame katika nafasi yake na atimize majukumu yake, ninacho nitakusaidia busara ikiniongoza lakini usinitwishe majukumu yako.
Hatari sana mkuuThe unpaid Seller katika viwango vyako. 100% coreect, sema tatizo wanaume tushakubali kukandamizwa tayari yani.
Kweli lakiniKuna wanaume wanaishi maisha ya huzuni na sonona kuu ila wasijue huzuni yao inatoka wapi, kuna wanaume wanaishi kwa fedhea kwa makosa ya wazi wanayoyafanya na kuyarudia tena na tena.
HakikaKweli lakini
Hapa nakuunga mkono. Watoto majumbani wana kula vyakula vya low quality poorly prepared kwa sababu ha mshahara wa laki 5 kwa mwezi.Unataka mwanaume atimize wajibu wake kiasili lakini wewe hautaki kutimiza majukumu yako kiasili. Mwanamke kiasili ni mlezi wa familia sasa wewe kutwa kuzungusha makalio maofisini alafu ati uhudumiwe, upendwe, utunzwe hebu kua serious we dume jike pambana na hali yako.
Ujumbe wa mtoa mada iwe unakufaa au haukufai lakini ndio ukweli.Mambo yanabadilika sana, usitake uishi kama alivoishi babu yako akiwa na bibi yako.