Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuNa ndio nilichokua nasema hapa, kwamba kama umekubali mwanamke "awe anakusaidia" kwa maana eti "maisha nawadays yamebadilika" basi kubali kugamana heshima ya utawala na huyo mwanamke.
Kubali kua haujamuoa ila mmeoana. Kubali kua wewe sio kichwa cha familia ila wote ni vichwa vya hiyo familia (ila kumbuka mafari wawili hawakai zizi moja) kubali fedhea, kubali dhihaka nk mwanamke kamwe hajaumbwa kutoa, na "kwa usasa" wako kumfanya atoe hakika HAKIKA VITAKUTOKEA PUANI.
Umenena vema mkuu, macho kwenye pesa inyeshe mvua liwake juaBandiko moja zuri kuwahi kutokea, Wanaume tutafute hela kwa namna yoyote halali tusidharaulike kwa wanawake
GOOD SANAUmenena vema mkuu, macho kwenye pesa inyeshe mvua liwake jua
Mbona wenzako woote unaowaona....walisha tolewaga mahali miaka miiiiimgi huko...ni style ya zamani mnoo hiyo...wewe unaishi wapiii?..ukiona huolewi na mwanamke basi jua kabisaa una mikosi mibaya sana. Ya umaskini....hata changu doa hakutaki.....hkn anaye taka mikosi duniani....mfano ni wakongwe kina Dr Remmy Ongalla.....ngombale mwilu.....nyerere nk hawa wazee babu zako...walitwaliwa na wanawake kabisaaa.nashangaa ke woote hawa huolewi.......hao bana kila wakikosana wanasuruhishwa maisha yana songa...mke akikuoa ndoa haivunjiki kamwe.......kaogee pangoni matako juu mikosi itaisha.Kwa hivyo upo tayari kutolewa mahali?
uko sahihi kwa wale mliozaliwa na devil.oKATAA NDOA
NDOA NI UBINAFSI
Daaaa!! wewe mtoto ni aje tena....😁 emu huko
huo ni udhaifu mbaya sana utakuumiza daima dumu...mkeo hakuumbwa kutoa ni sawa basi itumie hiyo papuchi yako ya nyuma ikuzalie watoto wakutunze naNa ndio nilichokua nasema hapa, kwamba kama umekubali mwanamke "awe anakusaidia" kwa maana eti "maisha nawadays yamebadilika" basi kubali kugamana heshima ya utawala na huyo mwanamke.
Kubali kua haujamuoa ila mmeoana. Kubali kua wewe sio kichwa cha familia ila wote ni vichwa vya hiyo familia (ila kumbuka mafari wawili hawakai zizi moja) kubali fedhea, kubali dhihaka nk mwanamke kamwe hajaumbwa kutoa, na "kwa usasa" wako kumfanya atoe hakika HAKIKA VITAKUTOKEA PUANI.
wee koma Lugha ya BIbilia ni tofsuti sana ulivyo zoba utambebesha mijelikeni dem wako aende bustanini huko aliwena mijamaa.......Hatukumaanisha bustani unayo jua weye bali mwili wa mwanaume na watoto ndo bustsni ya mizabibu.weee vepe?Sasa nakuambia hv!!
Kama mnavoshirikiana kitandani ndivyo mnavopaswa kushirikiana kiroho,kimwili,kiuchumi na kijamii!!
Sasa SIJUI mwenzangu mkiwa kitandani nani anamtegea mwenzake!!?hadi mnapofika mshindo!!!
Tafsiri ya NENO msaidizi ni pana Sana!!
Mithali nadhani sura ya 30:15 au 31:15 anasema mke kwema nani awezaye kumjua!anasisitiza huamka asubuhi na mapema kumwagilia bustani ya mzabibu!!
Kama anamwagilia bustani maana yake anashiriki KAZI za uchumi nyumbani mwake!!!
TAFAKARI!!
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!