Mwanaume kuitegemea hela ya mwanamke ni ukahaba mamboleo

Mwanaume kuitegemea hela ya mwanamke ni ukahaba mamboleo

M
Na ndio nilichokua nasema hapa, kwamba kama umekubali mwanamke "awe anakusaidia" kwa maana eti "maisha nawadays yamebadilika" basi kubali kugamana heshima ya utawala na huyo mwanamke.

Kubali kua haujamuoa ila mmeoana. Kubali kua wewe sio kichwa cha familia ila wote ni vichwa vya hiyo familia (ila kumbuka mafari wawili hawakai zizi moja) kubali fedhea, kubali dhihaka nk mwanamke kamwe hajaumbwa kutoa, na "kwa usasa" wako kumfanya atoe hakika HAKIKA VITAKUTOKEA PUANI.
Mkuu

Hata kama ukitoa wewe mwenyewe yatakutokea puani kama wengi walivolala mapema na kuwaacha wake zao wanatumbua Maisha KWA vile alivochuma mwanaume!!

Wanaume tuna Maisha!!?

Maisha wanayo wanawake na Watoto WAO!

We unataka uteseke uwajibike mwenyewe Ili umuachie mwanamke atumbue na Watoto kisa Eti unataka uheshimiwe!pole Sana!

Bora ulee familia ikikua ukaoe tena ili ufurahie Maisha kama unayo!!kubeba mizigo pekee YAKO eti unataka heshima KWA mkeo ni KAZI Bure!!ukizeeka atakudharau tu kisa huna NGUVU Tena na ushawishi Tena!

Na wanawake wameshai tune akili yao kuwa Mume atakufa na atamwacha na mali atumbue na Watoto!!

Huo mtego wa heshima nilishafaulu maana najua hulka ya mwanamke!!

Kama hana KAZI ya kuajiriwa unampa mtaji asimamie na faida inayopatikana ushiriki kuleta familia kama ana KAZI ashiriki ipasavyo kuleta familia kea mahitaji sitaki unyonyaji!yaani akunyonye halafu Mwisho a enjoy peke take na Watoto wakati upo kaburini!!!
Ukiona unadharaulika simple tu mwache kwenye nyumba na Watoto kapange huko halafu uwe unawacheki tu!!as long as nyumba ina hati ya wote au Watoto!!


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Weeeh naona porojo nyiiiiingi!

Kwanza, pambana na sahani yako, usiwai taka jua mwenzako sahani yake anakula nini na amepataje pataje ilimradi hajakudhuru, wachana nae. Kama anakula mchanga na mawe haikuhusu. Hapo ndo inakuwa tabia ya kike kutaka kumpangia mwenzako.

Pili, mpaka apewe kitu na mwanamke, ina maanisha kuna kitu anampa huyo mwanamke. Yaaani give and take baba. Mpaka hapo...nafikiri utakuwa umeelewa.

Vinginevyo, toka inje tembea kidogo, kula kaupepo... alafu cheza chini.
 
Ukahaba mamboleo[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Mwanaume atakula kwa jasho mwanamke atazaa kwa uchungu,,,,mwanaume ni provider,,,mwanamke hajaumbwa kuhudumia familia unless awe anafanya kwa utashi wake na kwa mazingira kadhaa mfano mume amefukuzwa kazi mfano mwanaume kipato ni laki 5 mwanamke kipato ni milioni 2,,,hapo kiujumla kipato Cha familia ni laki 5,,, inawezekana pia mkakubaliana awe anasaidia majukum madogo madogo hapo nyumbani lakini asipotimiza usilalamike oh mke wangu ana mshahara halipi bills, hayo ni majukum yako bro,,,

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hivyo upo tayari kutolewa mahali?
Mbona wenzako woote unaowaona....walisha tolewaga mahali miaka miiiiimgi huko...ni style ya zamani mnoo hiyo...wewe unaishi wapiii?..ukiona huolewi na mwanamke basi jua kabisaa una mikosi mibaya sana. Ya umaskini....hata changu doa hakutaki.....hkn anaye taka mikosi duniani....mfano ni wakongwe kina Dr Remmy Ongalla.....ngombale mwilu.....nyerere nk hawa wazee babu zako...walitwaliwa na wanawake kabisaaa.nashangaa ke woote hawa huolewi.......hao bana kila wakikosana wanasuruhishwa maisha yana songa...mke akikuoa ndoa haivunjiki kamwe.......kaogee pangoni matako juu mikosi itaisha.
 
Na ndio nilichokua nasema hapa, kwamba kama umekubali mwanamke "awe anakusaidia" kwa maana eti "maisha nawadays yamebadilika" basi kubali kugamana heshima ya utawala na huyo mwanamke.

Kubali kua haujamuoa ila mmeoana. Kubali kua wewe sio kichwa cha familia ila wote ni vichwa vya hiyo familia (ila kumbuka mafari wawili hawakai zizi moja) kubali fedhea, kubali dhihaka nk mwanamke kamwe hajaumbwa kutoa, na "kwa usasa" wako kumfanya atoe hakika HAKIKA VITAKUTOKEA PUANI.
huo ni udhaifu mbaya sana utakuumiza daima dumu...mkeo hakuumbwa kutoa ni sawa basi itumie hiyo papuchi yako ya nyuma ikuzalie watoto wakutunze na
upate heshima ktk jamii.......
.jipikie..
jifulie minguo hiyo....
Jishauri ufanikiwe.nk
Ubinafsi mwingine ni laana mbya sana......macho laini yale??? Macho laini km ya jokate??
Kwanza kugombana tu na mkeo ndani ya nyumba na kumbembeleza tena ukaomba papuchi upya ni raha sana...na mara nyingi zinakuwaga tamu baada ya hasira.
 
Sasa nakuambia hv!!

Kama mnavoshirikiana kitandani ndivyo mnavopaswa kushirikiana kiroho,kimwili,kiuchumi na kijamii!!
Sasa SIJUI mwenzangu mkiwa kitandani nani anamtegea mwenzake!!?hadi mnapofika mshindo!!!

Tafsiri ya NENO msaidizi ni pana Sana!!
Mithali nadhani sura ya 30:15 au 31:15 anasema mke kwema nani awezaye kumjua!anasisitiza huamka asubuhi na mapema kumwagilia bustani ya mzabibu!!

Kama anamwagilia bustani maana yake anashiriki KAZI za uchumi nyumbani mwake!!!

TAFAKARI!!


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
wee koma Lugha ya BIbilia ni tofsuti sana ulivyo zoba utambebesha mijelikeni dem wako aende bustanini huko aliwena mijamaa.......Hatukumaanisha bustani unayo jua weye bali mwili wa mwanaume na watoto ndo bustsni ya mizabibu.weee vepe?
 
Back
Top Bottom