Mwanaume kuitegemea hela ya mwanamke ni ukahaba mamboleo

Mwanaume kuitegemea hela ya mwanamke ni ukahaba mamboleo

Nashukuru, karibu kwa mjadala
Mbona prince philip alimuoa Malkia wakaishi mkuu!! Tusiende mbali....Sasa unataka kusema nini? Rais wako amefanya makosa???

Wapo wabunge wengi/mawaziri waume zao mishahara yao ni midogo na wengine wame ambiwa na wake zao waache kazi......sasa leo weye unakuja na haya......huo ni mfumo dume sana uliowagharimu babu zetu wakaenda utumwani kirshisu...kwa kujifanya vidume....wange waheshimu ke na kuwapa nafasi nyeti kwenye falme zao...utumwa usingekuwepo kamwe kwa sababu majemedari woote wangetekwa na nyapu za kina mama.....matokeo tungesalimika. Lkn kwakuwa babu zenu walidharau wanawke km weye.

Wakatekwa utumwani hawakurudi mpaka leo..matokeo yake wake zao nao wakakosa waume walicho amua wakaolewa hukooo kwingine na wale washindi ndo hao unaowaona leo mataifa ya Waarabu. Chotaras.....hilo tukaliona sana tu....sasa tukaamua kuwapa nguvu ke..sasa weye leo unawaza kizamani. Tufanye yaleyaleeee!!

Kwani ukiolewa weye una shida gani?? Unaogopa kubeba mimba Mkuu??......hata ukiwaje na hela mke akiwa hasikii ni hasikii tu...km hipendwi ni hupendwi tuuu.hata goal keeper atakukimbia.......me ni anasifiwa kazi ya chini tuuu basiii...ukiijua hii hata binti yako atakupenda sana.kuliko wooote.atasikiliza muziki kutoka kwa mama yake unachotakiwa kufanya usiogope ni kazi unapewa ili awe binti ..mama mzuri huko mbele ya safari akikutana na boya km wewe analipa makavu...usije jidanganya ukadhani mamake hajui...anajua usimtibue tu.

Wewe km ke hawaja kuchagua uwafanyie kazi zao vizuri usilie lie wivu wee mkurya!!! Machejo ya kusimamia mguu mmoja hujui...sasa ke gani atakutaka???

Mikosi mitupu nani akutake??? Angalia mama amekaa na baba weeee!! Mpaka mama kawa Rais jamani amuache kweli??
Akimuacha baba....mama kazi kwishne....sema wewe mleta mada una gundu...km ulivo na gubu....hata ufanyeje mkeo hapandi daraja la maisha ng'ooo!...na usidhani tutaacha wake zetu! neva..utasubiri sana.

Hata kuyachukua michepuko hayo mamke yenu hatuji ng'oooo.....na nyie ndo mnatilia mikosi wake za watu...ebu fikiri tu mtu km weye utembee na mke wa mtu si umemuachia mwenye mke gundu!@ ndo pale unakuta gari imekamatwa kibaha bila kosa.kuuumbe mke wa mwenye gari alitembea na mleta mada.

Siyo rahisi ke kumuoa mleta mada make ke woote duniani wana uwezo wa kunusa sana penye mafanikio wale ke usiwaone vile ukadhani namna gani vipi wana nguvu za ziada.

Hujaona mtu na hela zake anaenda chumbia lkn anakataliwa??? Ila atakuja beba mzigo ntu maskini tu tena kiulainiii!!@ huyo atalishwa bure.
 
Mkuu naomba niongezee watoto wanafanyia ukatili na dada wa kazi mwanamama yuko "ofisini" eti nae apendwe na kuhudumiwa kwa lipi ?
Mkuu naomba niongezee watoto wanafanyia ukatili na dada wa kazi mwanamama yuko "ofisini" eti nae apendwe na kuhudumiwa kwa lipi ?
Naomba nikusaidie ke wenye mafanikio siyo wa type yako.
Wewe oa ma house girls.
 
Kuna jambo hujanielewa mkuu, kuna tofauti kati ya mwanamke kutoa msaada na mwanaume kutafuta kuoatmwanamke atakae mpa msaada.

Hakika mwanamke aweza kumsaidia mwanaume kwa mambo kadhaa ila sio mwanaume anaoa ili asaidiwe. Kuna jamaa alikua mpaka anauliza "yule mwanamke anafanya kazi gani nimuoe anisaidie maisha" huu ndio ujinga naoupinga hapa
Hayo maandiko yasemayo Adamu aliumbiwa msaidizi Huwa siyaelewi Huyo msaidizi ni wa aina GANI!!?asaidie nini hasa!!?yaani kivipi!!?

Wewe unaelewaje!!?

Yaani msaidizi kivipi wa Hali na mali au wa kupika PEKEE!!?
Naomba unisaidie kuelewa hiki tafadhali halafu nitakuja kujadili mada uliyoipandisha hewani!!!
 
Kwa muktadha huu, hakuna haja ya mwanamke kufanya kazi yaani wote hamuwezi kujikuta mnafanya kazi ya aina Moja, mwanaume atafute na mwanamke atafute, matokeo yake ndio tunazalisha panya road si ndio???

Nikirudi Kwenye hoja, ni kweli maswahibu mengi yanayotokea Kwenye ndoa ni Kwa sababu wanaume tunajitakia kutokana na kuruhusu hiyo inayoitwa democrasia mwisho wanawake wanadai tume huru, Lakini tayari tushakubali kuruhusu na wao wafanye kazi, pesa Yao wanayoipata ni Kwa ajili ya Nini?

Au hela wanaipata kulingana na kazi wafanyazo mwanaume hupaswi kuuliza? Na usipouliza je huoni utamfanya aanze kuziishi ndoto zake? Wakat tumekubaliana mwanamke akitaka kuziishi ndoto zake akae kwao????
Angalau mkuu umejitambua!
Iko hivi kama mwanamke ni mama wa nyumbani basi mwanaume una takiwa kumuhudumia kikamilifu,ila kama mwanamke ni mfanyakazi hapo lazima ijulikane anakopeleka kipato chako.

Sasa wewe just imagine labda mke na mume wote walimu au wote Polisi Yaani mume ahudumie familia then mke afanye yake tu?utakuwa ujinga mkuu
Hiyo nadharia ya mke mfanyakazi kuhudumiwa 100% inafanya kazi pale ambapo tofauti ya kiuchumi baina yenu ni kubwa eg.labda Mo amuoe mwalimu etc ila kwa sisi ambao tunafanya kazi zinazowiana mishahara lazima tutahitaji kufuatilia na kuhitaji michango Yao katika michakato ya maendeleo ya familio.

Sasa wewe umeolewa then unaenda kazin Kisha unataka mshahara wako usijulikane unachofanya huo ubwege hauungwi mkono
 
Watakaoelewa watapona huu ndio ukweli mwanamke anakamilisha uanaume wako tu guys pambaneni usiangalie hela ya mama hiyo itoke tu kidharura
 
Watakaoelewa watapona huu ndio ukweli mwanamke anakamilisha uanaume wako tu guys pambaneni usiangalie hela ya mama hiyo itoke tu kidharura
This is 6! This is 9, it depends on the position of your life.
 
Chukua hii,, Mwanamke Akikamata Pesa Anabadilika Hadi Rohoo Anakuwa Chui Roho Mbaya.
Tuwe Makini.

Wanapenda Pesa hao alafu wabnafsi atarii...
Chake ni chake,, Chako ni Chake..
Mikazo kama Yote.

Vijana tutafute pesaaa,,,Helaaa ya Mwanamke siyo ya kuipigia Hesabu Wala siyo ya matumizi au msaaaadaa katka familia..

Ukweli Mchungu.
 
Hayo maandiko yasemayo Adamu aliumbiwa msaidizi Huwa siyaelewi Huyo msaidizi ni wa aina GANI!!?asaidie nini hasa!!?yaani kivipi!!?

Wewe unaelewaje!!?

Yaani msaidizi kivipi wa Hali na mali au wa kupika PEKEE!!?
Naomba unisaidie kuelewa hiki tafadhali halafu nitakuja kujadili mada uliyoipandisha hewani!!!
Kusaidia kuendeleza uzao wake Adam, kusaidia kumliwaza, kumfariji, kumtia moyo na kumuowbea. Leta swali jingineg
 
Chukua hii,, Mwanamke Akikamata Pesa Anabadilika Hadi Rohoo Anakuwa Chui Roho Mbaya.
Tuwe Makini.

Wanapenda Pesa hao alafu wabnafsi atarii...
Chake ni chake,, Chako ni Chake..
Mikazo kama Yote.

Vijana tutafute pesaaa,,,Helaaa ya Mwanamke siyo ya kuipigia Hesabu Wala siyo ya matumizi au msaaaadaa katka familia..

Ukweli Mchungu.
Wanawake ni wabinafsi sanaa yuko tayari familia wale dagaa week nzima ila kwenye pochi lake kuna mahela kibao.
 
Really life Ina mengi Sana compare na watu wanavoaminisha watu Sana..Kwanza ukipata mwanamke mnayeendana vizuri na akajua kipato chako na akaridhika hata akitoa sehemu ya pesa yake ktk maisha ya kila siku ktk family it's make sense kabisa..sioni kosa Kama mwanamke anakipato asichangie ktk familia ..

Nowdays maisha yamebadilika Hali ya upatikanaji wa pesa za kutosha familia kwa mwanaume sometimes ni changamoto..... unawezakuta mwanaume anapambana either biashara zimekufa au haziendi vizuri huo ndio wakati sahihi mkewe kumsaidia..Kuna mazingira mwanaume itakubali kisaidiwa na mwanamke in reality
 
Tafsiri RASMI ya kimaandiko
Sasa nakuambia hv!!

Kama mnavoshirikiana kitandani ndivyo mnavopaswa kushirikiana kiroho,kimwili,kiuchumi na kijamii!!
Sasa SIJUI mwenzangu mkiwa kitandani nani anamtegea mwenzake!!?hadi mnapofika mshindo!!!

Tafsiri ya NENO msaidizi ni pana Sana!!
Mithali nadhani sura ya 30:15 au 31:15 anasema mke kwema nani awezaye kumjua!anasisitiza huamka asubuhi na mapema kumwagilia bustani ya mzabibu!!

Kama anamwagilia bustani maana yake anashiriki KAZI za uchumi nyumbani mwake!!!

TAFAKARI!!


"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
 
Furaha ya mwanaume ni kutatua changamoto, kutoa msaada, kuhudumia na ndio kusudi la mwanaume, mwanamke furaha yake iko katika kuhudumiwa, kutunzwa na kupendwa huku yeye akilea. Chochote nje ya hapo hakiwezi kumletea mwanamke furaha ni kujilisha upepo na mwisho wake ni sonona, majuto, upweke na uharibifu.
Hakika umemena vyema...

Depal mamiii...
 
Really life Ina mengi Sana compare na watu wanavoaminisha watu Sana..Kwanza ukipata mwanamke mnayeendana vizuri na akajua kipato chako na akaridhika hata akitoa sehemu ya pesa yake ktk maisha ya kila siku ktk family it's make sense kabisa..sioni kosa Kama mwanamke anakipato asichangie ktk familia ..Nowdays maisha yamebadilika Hali ya upatikanaji wa pesa za kutosha familia kwa mwanaume sometimes ni changamoto..... unawezakuta mwanaume anapambana either biashara zimekufa au haziendi vizuri huo ndio wakati sahihi mkewe kumsaidia..Kuna mazingira mwanaume itakubali kisaidiwa na mwanamke in reality
Na ndio nilichokua nasema hapa, kwamba kama umekubali mwanamke "awe anakusaidia" kwa maana eti "maisha nawadays yamebadilika" basi kubali kugamana heshima ya utawala na huyo mwanamke.

Kubali kua haujamuoa ila mmeoana. Kubali kua wewe sio kichwa cha familia ila wote ni vichwa vya hiyo familia (ila kumbuka mafari wawili hawakai zizi moja) kubali fedhea, kubali dhihaka nk mwanamke kamwe hajaumbwa kutoa, na "kwa usasa" wako kumfanya atoe hakika HAKIKA VITAKUTOKEA PUANI.
 
Hayo maandiko yasemayo Adamu aliumbiwa msaidizi Huwa siyaelewi Huyo msaidizi ni wa aina GANI!!?asaidie nini hasa!!?yaani kivipi!!?

Wewe unaelewaje!!?

Yaani msaidizi kivipi wa Hali na mali au wa kupika PEKEE!!?
Naomba unisaidie kuelewa hiki tafadhali halafu nitakuja kujadili mada uliyoipandisha hewani!!!
asaidie machejo...kuongea na kucheka nae....kuheza nae....kumshikashika wowo wake huwa wanapendeza sana
..joto usikuwakilala....kuandaa chakula adamu ale yaani akirudi tu kutoka kumzalisha simba chakula kipo tayari hapo...mbususu nauo ipo hapo safi kabisa....ile unakula tu inaambiwa maji tayare twende kaoge kiroho paaa!!..kumsindikiza ili kuongea na Mungu kila jioni raha sana...wanyama /wadudu/mimea wakija na shida zao wanaanza kuonana na hawa kwanza...wanaulizwa mnasemaje????yaaani ni kibao tuu mpaka jamaa alidata ikabidi tu na yeye ale lile tunda kuliko kumpoteza mdada mtamu kivile....Mungu akikuumbia demu ni demu kweli hatanii..mpaka leo yuko ivo...
 
Back
Top Bottom