Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Mbona prince philip alimuoa Malkia wakaishi mkuu!! Tusiende mbali....Sasa unataka kusema nini? Rais wako amefanya makosa???Nashukuru, karibu kwa mjadala
Wapo wabunge wengi/mawaziri waume zao mishahara yao ni midogo na wengine wame ambiwa na wake zao waache kazi......sasa leo weye unakuja na haya......huo ni mfumo dume sana uliowagharimu babu zetu wakaenda utumwani kirshisu...kwa kujifanya vidume....wange waheshimu ke na kuwapa nafasi nyeti kwenye falme zao...utumwa usingekuwepo kamwe kwa sababu majemedari woote wangetekwa na nyapu za kina mama.....matokeo tungesalimika. Lkn kwakuwa babu zenu walidharau wanawke km weye.
Wakatekwa utumwani hawakurudi mpaka leo..matokeo yake wake zao nao wakakosa waume walicho amua wakaolewa hukooo kwingine na wale washindi ndo hao unaowaona leo mataifa ya Waarabu. Chotaras.....hilo tukaliona sana tu....sasa tukaamua kuwapa nguvu ke..sasa weye leo unawaza kizamani. Tufanye yaleyaleeee!!
Kwani ukiolewa weye una shida gani?? Unaogopa kubeba mimba Mkuu??......hata ukiwaje na hela mke akiwa hasikii ni hasikii tu...km hipendwi ni hupendwi tuuu.hata goal keeper atakukimbia.......me ni anasifiwa kazi ya chini tuuu basiii...ukiijua hii hata binti yako atakupenda sana.kuliko wooote.atasikiliza muziki kutoka kwa mama yake unachotakiwa kufanya usiogope ni kazi unapewa ili awe binti ..mama mzuri huko mbele ya safari akikutana na boya km wewe analipa makavu...usije jidanganya ukadhani mamake hajui...anajua usimtibue tu.
Wewe km ke hawaja kuchagua uwafanyie kazi zao vizuri usilie lie wivu wee mkurya!!! Machejo ya kusimamia mguu mmoja hujui...sasa ke gani atakutaka???
Mikosi mitupu nani akutake??? Angalia mama amekaa na baba weeee!! Mpaka mama kawa Rais jamani amuache kweli??
Akimuacha baba....mama kazi kwishne....sema wewe mleta mada una gundu...km ulivo na gubu....hata ufanyeje mkeo hapandi daraja la maisha ng'ooo!...na usidhani tutaacha wake zetu! neva..utasubiri sana.
Hata kuyachukua michepuko hayo mamke yenu hatuji ng'oooo.....na nyie ndo mnatilia mikosi wake za watu...ebu fikiri tu mtu km weye utembee na mke wa mtu si umemuachia mwenye mke gundu!@ ndo pale unakuta gari imekamatwa kibaha bila kosa.kuuumbe mke wa mwenye gari alitembea na mleta mada.
Siyo rahisi ke kumuoa mleta mada make ke woote duniani wana uwezo wa kunusa sana penye mafanikio wale ke usiwaone vile ukadhani namna gani vipi wana nguvu za ziada.
Hujaona mtu na hela zake anaenda chumbia lkn anakataliwa??? Ila atakuja beba mzigo ntu maskini tu tena kiulainiii!!@ huyo atalishwa bure.