hapana kuna mashaka...hizi zako huwa nazisikia kutoka kwa wanawake....wakiwambia waume zao....Jifunzeni kusalimia kama wanaume.... 'habari za kazi' au 'habari za mihangaiko' au 'habari za asubuhi/saa hizi'
Kila mtu ana nywele zake.hapana kuna mashaka...hizi zako huwa nazisikia kutoka kwa wanawake....wakiwambia waume zao....
Kila mtu ana nywele zake.
Hahaha akupe namba na wewe uminyiwe mkuu hehehe[emoji23][emoji23]JOMBAA NANI UYO KAKUMINYIA SAUTI
Haha hapa pana tatizo, siyo bure....Bora hata hiyo mambo.. Kuna hiyo dume zima linakuita my au wangu..!!
Hyo tone si ndo kubinya sauti anakokusema au?Aisee.. Sikuungi mkono... Hiyo salam ya Mambo inategemea na tone ya sauti..
Acha ushambaaaa....
Yeye amezungumzia salam ya Mambo na sio kubana sautiHyo tone si ndo kubinya sauti anakokusema au?
Kumbe hujasoma neno hadi neno...rudia utagunduaYeye amezungumzia salam ya Mambo na sio kubana sauti
Usicho kijua ni kwamba uzi umekuwa editedKumbe hujasoma neno hadi neno...rudia utagundua
Ok mkuuUsicho kijua ni kwamba uzi umekuwa edited
Kumbe ndo maana comenter tunapishanaUsicho kijua ni kwamba uzi umekuwa edited
Mpige ban mkuu au mpaka akutumie pics yake kapakwa wese ka BenDah hyo kweli kuna jamaa uwa ananitext whtsap Hvo hvo yan.