Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #81
Pm ipo wazi nowTufundishe na sisi jinsi ya kupata hizo pesa chief ? Je kuna kiingilio sh ngapi?🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pm ipo wazi nowTufundishe na sisi jinsi ya kupata hizo pesa chief ? Je kuna kiingilio sh ngapi?🤔
Wewe ni psychotic na mpuuzi .Hua nashangaa Hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikua kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa Mimi kwakua ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila Hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakua na mwanaume rofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kua tajiri kama Mimi ataweza kweli nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe rofa Ili watunze familia alinushukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekua Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na marofa Hawa masikini matakufa na shida zenu sababu hawatobadilika
Tafuta helaHata la5 nna waswas hujafika 😄
Tafuta helaWewe ni psychotic na mpuuzi .
Utajiri ni SiriTuambie siri ya utajiri wako!!
28 ni mtoto mdogo broooooooo daaaaah. mtotoTafuta hela Mimi sijasoma ila Nina pesa na ni mtoto mdogo tu miaka 28 wewe kula hayo makaratasi yako
Kuna mtu asiyetaka? Toa mbinu ili kusaidia wana jf wote tuwe na pesa kama wewe, ili usiwe unatusema hivyo mkuu.Unataka kuwa na pesa
Tafuta tajiri tanzania anaenifikia mwenye huo umri28 ni mtoto mdogo broooooooo daaaaah. mtoto
huku sio Twitter broooTafuta tajiri tanzania anaenifikia mwenye huo umri
Tafuta helahuku sio Twitter brooo
pesa hazipendi kelele, nashangaa kwako una kelele, pesa unazitoa wapi babuTafuta tajiri tanzania anaenifikia mwenye huo umri
Wewe unazo?pesa hazipendi kelele, nashangaa kwako una kelele, pesa unazitoa wapi babu
Tafuta hela masikini weweUmesoma must na mm ,acha ujuaji
Share hapa kwa manufaa ya wengi, wote tunahitajiJaribuni pm mda huu
Unanipangia?Share hapa kwa manufaa ya wengi, wote tunahitaji
Tafuta helaHunishind hela ,tapeli wewe
Hee 😀 tajiri mtoto punguza hasiraUnanipangia?
Tafuta hela masikini weweHunishind hela ,tapeli wewe
Kuna screws zinamiss kwenye hilo fuvu lako ,ukamuone psychiatrist,kuna aina ya maneno mtu akishaandika huwa na conclude huyu ni mwendawazimu au ama iHua nashangaa Hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikua kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa Mimi kwakua ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila Hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakua na mwanaume rofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kua tajiri kama Mimi ataweza kweli nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe rofa Ili watunze familia alinushukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekua Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na marofa Hawa masikini matakufa na shida zenu sababu hawatobadilika