john issa
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 856
- 1,638
mm ni mdogo kwako lakin nafikir wewe ni kelele tu ndo unawezaTafuta tajiri tanzania anaenifikia mwenye huo umri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mm ni mdogo kwako lakin nafikir wewe ni kelele tu ndo unawezaTafuta tajiri tanzania anaenifikia mwenye huo umri
Nimeamua kubonyeza "ignore" button.Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.
Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.
Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
Jione kwenye 1Samwel 25 upo hapo na HATIMA yako pia.Tajiri ni Mimi halafu masikini ni wewe
Huwa nashangaa hawa wanawake wanaoishi na masikini yaani kuna mwanamke alikuwa kachakaa kapigwa vumbi na mtoto mgongoni anatia huruma anakuja kuniomba pesa.
Mimi kwakuwa ananijua ni tajiri mtoto nikimuuliza huna mme akasema anae ila hana pesa Wala kazi kalala ndani aisee nikamuambia inakuaje na unakuwa na mwanaume lofa yaani pesa ya kukutunza tu Hana je ataweza kuwa tajiri kama Mimi ataweza kweli.
Nikampa kimillion 1 nikamuambia aende akafungue biashara na mumewe lofa Ili watunze familia alinishukuru mara Mbili mbili aisee yaani kama ningekuwa Namtaka ningeshamla Mimi nashauri dada zangu msiolewe na malofa Hawa masikini mtakufa na shida zenu sababu hawatobadilika.
Tafuta hela
🤣🤣Wazaz nitoe angalizo, peleken watoto pre form 1 au la weken simu zenu mbali, hawa watoto wa darasa la 7 watatusumbua sana humu naada ya kurud mtaani plus kaka zao wa mwaka wa 3
Tafuta hela masikini weweunapakatwa
🤣unapakatwa
Wewe umeona chakutqfutq ni hela tu, wanaotafuta mfereji wako huwaoni ety 😂😂😁Tafuta hela masikini wewe
Tafuta helaWewe umeona chakutqfutq ni hela tu, wanaotafuta mfereji wako huwaoni ety 😂😂😁
Tafuta hela fukara weweJibu swali farasi wewe
🤣Wewe umeona chakutqfutq ni hela tu, wanaotafuta mfereji wako huwaoni ety 😂😂😁