Mwanaume Maskini ana Enjoy wake zake hadi watano, wewe na PhD yako , vyeo kibao, pesa zakumwaga, Mke mmoja tu. Huu sio Ujinga?

Mwanaume Maskini ana Enjoy wake zake hadi watano, wewe na PhD yako , vyeo kibao, pesa zakumwaga, Mke mmoja tu. Huu sio Ujinga?

Tena huyo mmoja presha juu.

Hulali, huhemi, hukohoi🤣🤣🤣

Mke mmoja anakulinda balaa nafuu ya Bodigadi.

Una akili kweli?

Na bado anaweza kuzaa nje ya ndoa na akakubambikia.

Tusiposhtuka tutabaki kama Zamwamwa. Turudi kwenye Asili yetu mazee.
Hiyo inaitwa "konkota wa mlenda"!Kazi sana.
 
Ujinga ni kufuatilia maisha ya watu na kutaka waishi vile unaona wewe inafaa.
Ni zaidi ya uzwazwa, yeye km anataka kuishi kimalaya malaya ruksa asitake kuhalalisha na kwa wengine..!!
Trump aendelee na msimamo wake tuzike wapumbavu wawaza wanawake km sehemu ya kujiburudisha… 😏
 
Ni zaidi ya uzwazwa, yeye km anataka kuishi kimalaya malaya ruksa asitake kuhalalisha na kwa wengine..!!
Trump aendelee na msimamo wake tuzike wapumbavu wawaza wanawake km sehemu ya kujiburudisha… 😏
Acha wenye uwezo wale maisha.

Mtu mwenye hela hata uwe na wake watano bado ukimwendea Msichana kumtongoza anakubali wala hajali una wangapi nyumbani.

Tumia fursa kusaidia na wengine maisha mazuri.

Shida ya wasomi ni.mabahiri sana
 
Acha wenye uwezo wale maisha.

Mtu mwenye hela hata uwe na wake watano bado ukimwendea Msichana kumtongoza anakubali wala hajali una wangapi nyumbani.

Tumia fursa kusaidia na wengine maisha mazuri.

Shida ya wasomi ni.mabahiri sana
Dr mzima huna hata aibu unahamasisha ngono 😏
 
Dr mzima huna hata aibu unahamasisha ngono 😏
Ni maswala ya kijamii haya.

Badala ya kugonga hovyo hovyo.....oa wake zako ukae nao watambulike utakuws umewaheshimisha
 
Tena huyo mmoja presha juu.

Hulali, huhemi, hukohoi🤣🤣🤣

Mke mmoja anakulinda balaa nafuu ya Bodigadi.

Una akili kweli?

Na bado anaweza kuzaa nje ya ndoa na akakubambikia.

Tusiposhtuka tutabaki kama Zamwamwa. Turudi kwenye Asili yetu mazee.
Maisha sio kukulana tu ewe phalla mwenzangu😆
 
Back
Top Bottom