Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Mwanamke bikra hata kama ana miaka 45 na wewe una 27 mkikutana wewe ndie unakuwa mkubwa kwake๐คฃMen she is 21 mkuu how can you say ni mkubwa kwangu kisa kazaa boss
Kha! Hatari so 80k sio hela nyingi mweee!!! Bora niendelee na nyeto ya mlendaKwaiyo 80 ni hela kubwa sana kumpa mwanamke Kwa ajil ya urembo apendeze wengine wakiwahudumia mnawaona wanapenda mate yanawajaa
Wanaume tafuten hela achen visingizio kama huwez hudumia mke wako achen kuja huku kulia mpate huruma za wengine
Halafu hizi ishu za kusema wanawake hawajui wanataka nini, Huwa mnamaanisha Nini!?.View attachment 3202586
Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code
Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!
Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja
Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake
Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi
Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake
Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo
Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake
Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr
Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=
Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000
Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake
Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!
Ni hayo tu!
Katika watu ambao ningewapiga ban wasiingie kwenye huu uzi ni mzabzab but ushaingia tayariKha! Hatari so 80k sio hela nyingi mweee!!! Bora niendelee na nyeto ya mlenda
Aaah nakuelewa mkuu ila namuona yupo "vere gudi" sava bienMwanamke bikra hata kama ana miaka 45 na wewe una 27 mkikutana wewe ndie unakuwa mkubwa kwake
Natamani uelewe internally mkuu..
Siku ukijua kuitumia hiyo Ces' la te'te' utaondoa hilo neno very good..Aaah nakuelewa mkuu ila namuona yupo "vere gudi" sava bien
Dah expert,ebu tupe shule zaidi hapaMwanamke bikra hata kama ana miaka 45 na wewe una 27 mkikutana wewe ndie unakuwa mkubwa kwake
Natamani uelewe internally mkuu..
Ngoja nikwambie ukweli kabisa ambao unatakiwa uambiwe na wazee wa ukoo wako tu na baadhi ya wengine wenye utuAaah nakuelewa mkuu ila namuona yupo "vere gudi" sava bien
Sasa mbususu unanunua na nini jama i mwenyewe nikikuna pumbuz natoka majivu.Katika watu ambao ningewapiga ban wasiingie kwenye huu uzi ni mzabzab but ushaingia tayari
Ngoja nione kama hajaleta habari za kununua pussy hapa..
Nakupa mfano kwanza kuichangamsha akili yakoHalafu hizi ishu za kusema wanawake hawajui wanataka nini, Huwa mnamaanisha Nini!?.
Sasa unaoa kutafuta nini kama umekamilika, ili usipate shida pesa zako zakuunga unga , Kaa hapo na dada zako, weka mama yako na shangazi zako walio achika huko Kaa nao hapo! Mwache binti wawatu aolewe na wanaojua maana ya ndoa.View attachment 3202586
Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code
Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!
Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja
Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake
Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi
Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake
Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo
Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake
Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr
Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=
Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000
Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake
Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!
Ni hayo tu!
Hivi anatuchukuliajeKha! Hatari so 80k sio hela nyingi mweee!!! Bora niendelee na nyeto ya mlenda
Hao ni wasenge tu na sasa hivi wamebaki kula za wapumbavu wachache ambao bado wanachukulia kama kiumbe mwenye K ni maalumu sana kwaoSasa mbususu unanunua na nini jama i mwenyewe nikikuna pumbuz natoka majivu.
Sii umeona mrembo hapo anakwambia eti 80k hela ndogo kuspend kwa mrembo wako. Madem hawa wanadharau sana hela
Expert mbona kama unanikalipia ๐๐Sasa unaoa kutafuta nini kama umekamilika, ili usipate shida pesa zako zakuunga unga , Kaa hapo na dada zako, weka mama yako na shangazi zako walio achika huko Kaa nao hapo! Mwache binti wawatu aolewe na wanaojua maana ya ndoa.
Ndio uone walivyokuwa kenge hawa waremboHivi anatuchukuliaje
Huyo hana kazi anategemea azunguke kwenye mabaa apewe bia za ofa na tippings huku akijilegeza mpuuzi mmoja ambebe ili akamuibie!!Expert mbona kama unanikalipia ๐๐
Hiyo ni hulka tu ya mtu, hata wanaume wapo kibao, mke anavulia yote lakini siku akikaa vizuri anamtosa huyo mwanamke!Nakupa mfano kwanza kuichangamsha akili yako
Mke au mwanamke wa mabest huenda ushawahi sikia hii ishu,jamaa alimhudumia huyo demu wakati anaumwa,mpaka demu akapona
Na jamaa alifilisika kwa kuuza mali zake ili demu apate matibabu,lkn demu baaada ya kupona akaja kuolewa na rafiki yake mabest
Je hapo imekaaje?
Sasa mkuu mimi niliwish kuoa hawa under 25 ambao hawana watoto lakini wa umri huo wengi hawataki kuolewa na mimi sitaki kuoa mwanamke mwenye wa miaka 26 and above nataka hawa wa earlier 20's bado hawajayajua mengiNgoja nikwambie ukweli kabisa ambao unatakiwa uambiwe na wazee wa ukoo wako tu na baadhi ya wengine wenye utu
Mwanamke mwenye mtoto sio dhambi kuolewa na mwanaume,, ila ni dhambi kuolewa na mwanaume ambae hajawahi kuishi na mwanamke pika pakua yaani wewe mwanaume unakuwa ingizo jipya kwenye maisha ya kuoa but unachagua single maza.
Hii haitakiwi japo mimi nilifanya hili kosa na sijutii kwa upande mwingine maana limenifundisha kwa njia ngumu sana kitu ambacho sikufundishwa na mtu mwingine yule.
โ๐ข๐ ๐ข๐ก๐๐๐๐ก๐ ๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ฑ๐ฎ ๐ด๐ฎ๐ป๐ถ ๐บ๐ธ๐๐View attachment 3202586
Maexpert wa kiume nawapa mchongo ambao wanaume wenye hekima tu ndio wanaielewa hii code
Mosi, mwanamke wako hatakiwi kujua hisia zako za ukweli kabisa,yes you heard me!
Fanya utakavyo fanya na ishi naye utakavyo ishi naye lakini mwanamke wako anatakiwa asikujue kabisa wewe ni mtu wa namna gani,yani anatakiwa asikuelewe kwa asilimia mia moja
Mwanamke kwa asilimia kubwa huwa hajui anataka nini kwahiyo kwakuwa hajui anataka nini basi na wewe mfanye asikujue wewe ni mtu wa namna gani,yani hapo utamfanya abakie njia panda na unakuwa na mvuto kwake
Kinyume chake akikujua kabisa wewe ni mtu wa namna fulani basi unaanza kumboa na unakuwa huna mvuto tena kwake,uwe sometime yes na sometime no yani haupoi
Sometime unampa ruhusa aende sehemu fulani na kuna nyakati hautoi ruhusa,yani ili mradi uwe haueleweki,kwa kufanya hivyo utakuwa na mvuto kwake
Ogopa sana mwanamke anataka labda kutoka na wenzake,badala ya kuja kwako kutaka ruhusa,pale pale anawaambia wenzake nitakuja tu kwasababu mume wangu wala huwa hana neno au hana shida, jua expert hapo amekujua kuwa wewe upo hivi kwahiyo naye atakuchukulia kihivyo
Code ya pili maexpert wenzangu,mwanamke wako anatakiwa asijue una fedha kiasi gani bank,yan ajue tu una hela lkn asijue kiasi halisi kabisa,mpende utakavyo mpenda lakini hapo mwamba usiweke wazi,la sivyo utamuona mwanamke wako ana tamaa kumbe wewe mwenyewe umehamsha tamaa yake
Kumbuka wanawake na pesa ni marafiki sana,kuna mwamba mmoja alikuwa anajisifu kuwa hakuna anayeweza kumla demu wake,ni jamaa kutoka huko kigamboni kwa akina Vincenzo Jr
Wadau wakamwambia kwahiyo unajiamini kabisa tubet,jamaa akasema ruhsa,kama unavyojua kwakuwa wamba wanajua udhaifu wa wanawake,basi mwamba mmoja akamtokea demu na kumpa shilingi 500,000/=
Kilichofuatia hapo dem alifanywa kitoeo safi kabisa,kwahiyo wakati mwingine ni sisi wenyewe tunatengeneza mazingira ya kupigwa mizinga,kuna uzi mmoja nilisoma juzi kati wa expert mmoja hivi,anasema demu aliomba hela ya kwenda saluni akampa 80,000
Sasa asichojua huyo expert ni kwamba dem alimpigia ramli jamaa akajua kama saluni ametoa hii basi huyu jamaa ni mtamu,siku ya pili si akaletewa mkeka wa gharama kibao,matokeo yake mwamba kashusha uzi kueleza malalamiko yake
Na hapo hajajua account yako inasomaje,je akijua si utajifia bure wewe!!!
Ni hayo tu!