Mwanaume mwenye pesa si wa peke yako wewe mwanamke

Mwanaume mwenye pesa si wa peke yako wewe mwanamke

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Amani iwe kwenu!

Rejea kichwa cha uzi hapo juu. Mwanaume mwenye pesa si wa mwanamke mmoja, si unajua pesa si nywele kila mtu anazo. Usikae hata siku moja ukaamini mwanaume mwenye pesa eti ana true love...

Na siku zote ukiona mwanaume mwenye pesa hana mbamba nyingi yaani hana michepuko na wala hamaindishi mashori, basi ujue huyo man yuko bize balaa na shughuli zake, yaani he is really work hard like NEWTON au billigate wala hana time na wewe mwanamke yaani hata 4G haisomi network, jogoo hapandi mtungi....n.k

Na kinyume chake ni kweli mwanamke mzuri sio wa pekee yako mzee, analika na kila mtu kikubwa utulize wenge ule....
 
Amani iwe kwenu!

Rejea kichwa cha uzi hapo juu. Mwanaume mwenye pesa si wa mwanamke mmoja, si unajua pesa si nywele kila mtu anazo. Usikae hata siku moja ukaamini mwanaume mwenye pesa eti ana true love...

Na siku zote ukiona mwanaume hana mbamba nyingi yaani hana michepuko na wala hamaindishi mashori, basi ujue huyo man yuko bize balaa na shughuli zake, yaani he is really work hard like NEWTON au billigate wala hana time na wewe mwanamke yaani hata 4G haisomi network, jogoo hapandi mtungi....n.k

Na kinyume chake ni kweli mwanamke mzuri sio wa pekee yako mzee, analika na kila mtu kikubwa utulize wenge ule....
Point of correction bill gates is financially freee sio workworm kama newton ila message ni kweli
 
Amani iwe kwenu!

Rejea kichwa cha uzi hapo juu. Mwanaume mwenye pesa si wa mwanamke mmoja, si unajua pesa si nywele kila mtu anazo. Usikae hata siku moja ukaamini mwanaume mwenye pesa eti ana true love...

Na siku zote ukiona mwanaume hana mbamba nyingi yaani hana michepuko na wala hamaindishi mashori, basi ujue huyo man yuko bize balaa na shughuli zake, yaani he is really work hard like NEWTON au billigate wala hana time na wewe mwanamke yaani hata 4G haisomi network, jogoo hapandi mtungi....n.k

Na kinyume chake ni kweli mwanamke mzuri sio wa pekee yako mzee, analika na kila mtu kikubwa utulize wenge ule....
kwahiyo unataka kusema kila mwanaume ni malaya?? hamna wanaojiheshimu au wanaojiheshimu unataka kusema ni hanithi kwa upande wa wanawake wazuri wote ni malaya hawapo wanaojiheshimu fact zako hazina mashiko umalaya ni tabia hata uwe huna pesa utauza hata kiwanja kisa mademu na mwanamke hata kama hana mvuto anapigwa miti kama kawa
 
Equations za Mungu hizi hapa;-
1. Wenye pesa wana kisukari, hawana nguvu za kiume na hawana muda wa kusaka mbususu.
2. Walalahoi wana nguvu za kiume, wana muda mwingi lkn kifanyio (pesa) hawana.

Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote
 
Amani iwe kwenu!

Rejea kichwa cha uzi hapo juu. Mwanaume mwenye pesa si wa mwanamke mmoja, si unajua pesa si nywele kila mtu anazo. Usikae hata siku moja ukaamini mwanaume mwenye pesa eti ana true love...

Na siku zote ukiona mwanaume hana mbamba nyingi yaani hana michepuko na wala hamaindishi mashori, basi ujue huyo man yuko bize balaa na shughuli zake, yaani he is really work hard like NEWTON au billigate wala hana time na wewe mwanamke yaani hata 4G haisomi network, jogoo hapandi mtungi....n.k

Na kinyume chake ni kweli mwanamke mzuri sio wa pekee yako mzee, analika na kila mtu kikubwa utulize wenge ule....
@Shimba ya Buyenze Mshana Jr hebu tupeni ushauri mzuri vijanA

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Equations za Mungu hizi hapa;-
1. Wenye pesa wana kisukari, hawana nguvu za kiume na hawana muda wa kusaka mbususu.
2. Walalahoi wana nguvu za kiume, wana muda mwingi lkn kifanyio (pesa) hawana.

Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote
Usikariri sio wote wenye pesa wana kisukari na pressure labda hapo kwenye kusaka mbususu ndo hawapo vizuri ila si wote wenye afya mbovu utashangazwa mkuu
 
Hivi pesa nyingi ni kiasi gani? Mfano mke anapokea 4.5m na mume 3.8m hawa wana pesa nyingi? Nataka nijue kiburi kinaanzia tsh ngapi.
Huko mbali sana. Mli 2 kila mtu ni pesa nyingi kwenye mahusiano. Wanawake wepesi sana kuridhika. Akiweza kujinunulia wigi, kulipia pango na kununua lotion kwa kila mwezi hakamatiki
 
Back
Top Bottom