Sex addict
JF-Expert Member
- Feb 21, 2023
- 902
- 1,815
Ila kuna baadhi ya wanawake wana 💰 na ni humble and submissive hao vipi sasa 😑Fahari wawili hawakai zizi moja.
Pesa = kiburi/jeuri.
Sasa viburi viwili haviishi pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuna baadhi ya wanawake wana 💰 na ni humble and submissive hao vipi sasa 😑Fahari wawili hawakai zizi moja.
Pesa = kiburi/jeuri.
Sasa viburi viwili haviishi pamoja
Ndiyo wapo lkn wachache Sana. 1 ktk 1,000,000.Ila kuna baadhi ya wanawake wana 💰 na ni humble and submissive hao vipi sasa 😑
Hapana bana mbona mimi nawajua baadhi yao sio wachache kiasi hicho mbona 🤔 na wana make 74m per monthNdiyo wapo lkn wachache Sana. 1 ktk 1,000,000.
Mwanamke kama huishi naye Kama mkeo huwezi kusema unamjua. Wewe unamfahamu tu.Hapana bana mbona mimi nawajua baadhi yao sio wachache kiasi hicho mbona 🤔 na wana make 74m per month
Okey, Kiburi kinaanzia kipato cha m2? Basi wanatofautiana. Mm nawafahamu baadhi ambao wanajimudu na still hawana kiburi.Huko mbali sana. Mli 2 kila mtu ni pesa nyingi kwenye mahusiano. Wanawake wepesi sana kuridhika. Akiweza kujinunulia wigi, kulipia pango na kununua lotion kwa kila mwezi hakamatiki
Si kweli. Wengine wameshuhudia mama zao na baba zao na wakashuhudia wake zao wakiwa na fedha bila kiburi.Mwanamke kama huishi naye Kama mkeo huwezi kusema unamjua. Wewe unamfahamu tu.
Unachokiona ni fake personality yake. Anayejua rangi halisi ni mumewe.
Hapo ujue mwanaume anaingiza mili 5 kwenda juu. Lkn vipato vikifanana haiwezekaniOkey, Kiburi kinaanzia kipato cha m2? Basi wanatofautiana. Mm nawafahamu baadhi ambao wanajimudu na still hawana kiburi.
Hahahaa!Hata wanaume tunapopata pesa tunatofautiana, mwingine anachanganyikiwa anataka kuoa mpaka wake za rafiki zake.
Inaweza kuwa ila si nyakati zote. Kuna watu wanaishi vzr tu na mke ana mshahara mkubwa. Hata kama mke ni mchoyo na mume ana 2m, na 5m anayo mke huku 2m ya mume ndo inaendesha familia wala hakuna tatizo unless ameoa tu mwanamke mwenye matatizo.Hapo ujue mwanaume anaingiza mili 5 kwenda juu. Lkn vipato vikifanana haiwezekani
kwa hiyo wafanya biashara wakubwa na wakati walioko vitengo muhimu hamna kitu??hzi data ni za hapa bongo au ulimwenguni??Equations za Mungu hizi hapa;-
1. Wenye pesa wana kisukari, hawana nguvu za kiume na hawana muda wa kusaka mbususu.
2. Walalahoi wana nguvu za kiume, wana muda mwingi lkn kifanyio (pesa) hawana.
Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote
Huko mbele mifumo ni rafiki, ukisoma, ukijua kuimba, kuchekesha , kucheza mpira, kufanya biashara, n.k unatoboa. Hapa kwetu mtu akiwa na hela unakuta kapitia mazito yaliyopelekea kupata kitambi, kupoteza nguvu za kiume, kupata kisukari ama kukosa mudakwa hiyo wafanya biashara wakubwa na wakati walioko vitengo muhimu hamna kitu??hzi data ni za hapa bongo au ulimwenguni??
kwahiyo kumbe main topic ni afya ??Huko mbele mifumo ni rafiki, ukisoma, ukijua kuimba, kuchekesha , kucheza mpira, kufanya biashara, n.k unatoboa. Hapa kwetu mtu akiwa na hela unakuta kapitia mazito yaliyopelekea kupata kitambi, kupoteza nguvu za kiume, kupata kisukari ama kukosa muda
Aaah wapi hawana lolote...Nyie ila kuchitiwa na Mwanamme asiye na kipato inaumiza Sana roho😄😄Ufukala ni kitu kibaya.
Kwa maana iyo masikini ndio mwenye True love?.
Kwa hiyo kwa ufupi ni kwamba wanawake mnapenda kushare de liboloz na wanaume wanaoenda kushare de mbususuKabisa
Kwa hiyo billionea akikucheat roho kwatu kabisa 🤣🤣🤣🤣Aaah wapi hawana lolote...Nyie ila kuchitiwa na Mwanamme asiye na kipato inaumiza Sana roho😄😄