Mwanaume mwenye pesa si wa peke yako wewe mwanamke

Mwanaume mwenye pesa si wa peke yako wewe mwanamke

kwahiyo unataka kusema kila mwanaume ni malaya?? hamna wanaojiheshimu au wanaojiheshimu unataka kusema ni hanithi kwa upande wa wanawake wazuri wote ni malaya hawapo wanaojiheshimu fact zako hazina mashiko umalaya ni tabia hata uwe huna pesa utauza hata kiwanja kisa mademu na mwanamke hata kama hana mvuto anapigwa miti kama kawa
Tunacheza na mizani mkuu, ile ya wengi wanaelemea wapi, kwako kuna asilimia chache.
Tukisema china inaongoza kwa corona siyo kwamba china kila mmoja ana corona ila tu wengi wao.
Majority law.
 
Mwanamume kadiri kipato kinaongezeka ndivyo anazidi kutafuta pisi kali na wengi wakitokewa hawachomoi

Na mwanamume mwenye mtonyo mademu wenyewe wanamshobokea
 
Hivi pesa nyingi ni kiasi gani? Mfano mke anapokea 4.5m na mume 3.8m hawa wana pesa nyingi? Nataka nijue kiburi kinaanzia tsh ngapi.
wakikujibu nitag please.
 
Masikini hana haki
Haya mambo yanategemea na mazingira na eneo

Kwa mfano kuna maeneo kidume akiwa anaingiza kipato tu cha kawaida cha kujikimu kimaisha, amepanga geto, ndani liko full na msosi uhakika atawagonga mademu wengi tu hapo kitaa na shobo kama zote

Lakini kidume wa namna hiyo kwa totoz za ushuani kama Masaki, Mbezi Beach kwao ni kama shamba boy wa nyumbani kwao wale wanaokaa vijumba vya nje
 
Nakubaliana nawe japo kwa asilimia 50 tu, wapo wanaume wengi tu wenye pesa zao ila wametulia kwa mwanamke mmoja.
 
Tofautisha kuchetiwa na Mo Dewji na Mansantula!!akikucheat bilionea akianza kuomba msamaha we Kuna vitu utafaidi Huyo Mansantula Sasa atakuboa🤣
Kumbe issue ni unafaidi nini
 
Equations za Mungu hizi hapa;-
1. Wenye pesa wana kisukari, hawana nguvu za kiume na hawana muda wa kusaka mbususu.
2. Walalahoi wana nguvu za kiume, wana muda mwingi lkn kifanyio (pesa) hawana.

Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote
Hao umetaja wenye pesa walafi , ndio wanakuwa na hayo magonjwa , Kiriba tumbo ,kisuraki na pressure kama sio vya kurithi kuwa na hiv vtu ata kama unapesa wewe ni maskini wa akili.
 
Back
Top Bottom