funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Lumumbashi ni wewe unayeitafuta BAN au pombe? Acha kuwatusi wachangiaji mbona topiki yako iko poa kabisa ujumbe umefika kunako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama
Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii 😄 anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?
Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
Kama hatoelewa kwenye hili jibu basi ana matatizoKujenga tunajenga sisi tusiokua na uhakika wa maisha, mtu anaweza kuwa na million 200 leo, lkn akipika hesabu hajua kama atawahi pata nyingine...kuwa safe na future anaamua kujenga....
Mtu hana uhakika kama watoto wake watapata ajira au watakuwa na maisha mbeleni- anajenga ili wawe na kwao...hakuna uhakika wa cash
Watu wanaiba, magumashi mengi...hawajui kama watapata nafasi hizo tena, kuwa safe na kupunguza matatizo ya mbeleni anaamua kujenga....
Waajiriwa-Government na Serikali- mtu akipiga mahesabu ya kustaafu au akipunguzwa kazi...anaona bora ajenge...ili kupunguz potential matatizo....
HIVYO TUNAKIMBILIA KUJENGA SABABU HATUNA UHAKIKA WA KESHO- NO CASH INAYOELEWEKA...
Nenda Masaki nimekuta wahindi wanapanga kwenye apartments mwaka wa 20...yaani wamezalia watoto hapo mpaka watoto nao wanajitegemea....Wanalipa tu 2.5 M kila mwezi, tena wakiamua wanalipa mwaka mwaka...
Kuna watu walijenga majumba, mikocheni, masaki, oysterbay huko, upanga....Sasa hivi wameyakimbia wanapangisha watu wenye liquidity na cash wapate kipato...wenyewe wanarudi mbezi beach huku..wengine nje ya mji huko..
Nimeona dada Mweusi kaolewa na Bwna wa Kizungu...Wana uza vifaa vya bomba, mashine etc...wamekaa sehemu mwaka wa 12....fully furnished property..kulipa kodi ni kama kununua kilo ya nyama....na hawana hata kiwanja na hawana presha ya maisha kabisaaa...
Hapo ndipo nilijifunza watu wenye uhakika wa kipato wanaulimwengu wao mwingine kabisa...wakati wewe unawaza kujenga kinyumba chako kwa kuungaunga..wao wanawaza vitu tofauti kabisa....
Na wakijenga wanajenga kweli nyumba....sio hizi sukuma wiki zetu..
Pia nimegundua..kwa miji mikubwa mfano DSM..Kuna wenye nyumba wengi ni maskini kuliko hata wapangaji wao....Na ndo maana mtu akichelewa mwezi tu..hali tete......
Nimefurahi juzi Rais Mama Samia katusii vijana tutengeneze uhakika wa vipato continuously na sio kutegemea mishindo ambayo haina mizizi...
MTOA MADA KIKUBWA NI KUWA NA UHAKIKA WA KIPATO CHA MIAKA....Waafrika tunakimbilia kujenga kwa sababu ya umaskini na kutokuwekeza kwenye future inayoeleweka..achana na hayo mawazo mgando..kama unawatoto watengenezee channel za mifereji ya pesa, waambie watafute pesa kwa haki...usiwaambie masuala ya kujenga..mwisho wa siku utagundua kumbe PESA ndo JIBU LA MAMBO YOTE...
Ronaldo Saudia Pale kapanga five star hotel..milllions of money...
TUTAFUTE KUWA NA CASH AND LIQUID ASSETS..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wewe ni mke wake? Au story za vijiweni tuKamshauri kwanza Elon Musk tajiri namba tatu duniani kwanini Hana nyumba.
Segerea siyo town na hakujawahi kuwa town.Ahahah we nawe yaan unauliza nyumba ya laki tatu kwa mwezi[emoji23][emoji23] nenda hata segerea utazipata inaonesha unalipaga 35k kwa mwezi
Mbumbumbu kaingia jamiiforums. Uchumi wa hii Nchi wanauendesha Wafanyabiashara wa Kariakoo na Posta na Wengi ni Wapangaji NHC Kuanzia Ofisi mpaka Makazi.Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama
Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii [emoji1] anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?
Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
kwani anae ishi nyumba ya kupanga asinzii usiku[emoji13][emoji33][emoji12]Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama
Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii [emoji1] anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?
Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
Kabisa we unajielewa sana ila nashanga watu wengine wana makasirikoUmepaka sana, ila nia yako ni kushauri watu wajitahidi angalau wawe na makazi yao. Najua kupanga ni utumwa ndio maana ukawa mkali.
Mkuu wewe hyo nyumba ulizaliwa nayo? Kuna vitu vingine kama mwanaume anaejua maisha kuongea ni aibu sanaKiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama
Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii [emoji1] anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?
Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
SoMkuu wewe hyo nyumba ulizaliwa nayo? Kuna vitu vingine kama mwanaume anaejua maisha kuongea ni aibu sana
Akijijua yeye atavijua na vingine.Gentleman-Singular
Gentlemen-Plural
Ukiamua kuchanganya lugha mbili hakikisha unazijua zote
Kujenga tunajenga sisi tusiokua na uhakika wa maisha, mtu anaweza kuwa na million 200 leo, lkn akipika hesabu hajua kama atawahi pata nyingine...kuwa safe na future anaamua kujenga....
Mtu hana uhakika kama watoto wake watapata ajira au watakuwa na maisha mbeleni- anajenga ili wawe na kwao...hakuna uhakika wa cash
Watu wanaiba, magumashi mengi...hawajui kama watapata nafasi hizo tena, kuwa safe na kupunguza matatizo ya mbeleni anaamua kujenga....
Waajiriwa-Government na Serikali- mtu akipiga mahesabu ya kustaafu au akipunguzwa kazi...anaona bora ajenge...ili kupunguz potential matatizo....
HIVYO TUNAKIMBILIA KUJENGA SABABU HATUNA UHAKIKA WA KESHO- NO CASH INAYOELEWEKA...
Nenda Masaki nimekuta wahindi wanapanga kwenye apartments mwaka wa 20...yaani wamezalia watoto hapo mpaka watoto nao wanajitegemea....Wanalipa tu 2.5 M kila mwezi, tena wakiamua wanalipa mwaka mwaka...
Kuna watu walijenga majumba, mikocheni, masaki, oysterbay huko, upanga....Sasa hivi wameyakimbia wanapangisha watu wenye liquidity na cash wapate kipato...wenyewe wanarudi mbezi beach huku..wengine nje ya mji huko..
Nimeona dada Mweusi kaolewa na Bwna wa Kizungu...Wana uza vifaa vya bomba, mashine etc...wamekaa sehemu mwaka wa 12....fully furnished property..kulipa kodi ni kama kununua kilo ya nyama....na hawana hata kiwanja na hawana presha ya maisha kabisaaa...
Hapo ndipo nilijifunza watu wenye uhakika wa kipato wanaulimwengu wao mwingine kabisa...wakati wewe unawaza kujenga kinyumba chako kwa kuungaunga..wao wanawaza vitu tofauti kabisa....
Na wakijenga wanajenga kweli nyumba....sio hizi sukuma wiki zetu..
Pia nimegundua..kwa miji mikubwa mfano DSM..Kuna wenye nyumba wengi ni maskini kuliko hata wapangaji wao....Na ndo maana mtu akichelewa mwezi tu..hali tete......
Nimefurahi juzi Rais Mama Samia katusii vijana tutengeneze uhakika wa vipato continuously na sio kutegemea mishindo ambayo haina mizizi...
MTOA MADA KIKUBWA NI KUWA NA UHAKIKA WA KIPATO CHA MIAKA....Waafrika tunakimbilia kujenga kwa sababu ya umaskini na kutokuwekeza kwenye future inayoeleweka..achana na hayo mawazo mgando..kama unawatoto watengenezee channel za mifereji ya pesa, waambie watafute pesa kwa haki...usiwaambie masuala ya kujenga..mwisho wa siku utagundua kumbe PESA ndo JIBU LA MAMBO YOTE...
Ronaldo Saudia Pale kapanga five star hotel..milllions of money...
TUTAFUTE KUWA NA CASH AND LIQUID ASSETS..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kuna wahindi hapa ni kwao....na kwa ushahidi zaidi hata hizo nyumba za NHC walijenga wahindi haohao..Nyerere kataifisha....Mbona kila mfano kuhusu kujenga mnatolea mfano wahindi?,kwani wahindi hapa Tanzania ni kwao?,ina maana wewe ukienda kutafuta maisha Sudan utakimbilia kujenga huko Sudan?
Masikini akipata........Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama
Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii 😄 anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?
Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
Ni title sio tittle[emoji3][emoji3]Kiherehere adi umekosea tittle[emoji35][emoji706]
amka kijana usije kujikojolea, usifananishe 1st world countries na bongo, Mark Zuck, Buffet na wengineo hawana uhakika wa kesho? mbona wanamiliki mijengo.Kibongobongo kujenga ni muhimu kwa sababu bado tuna ardhi ya kutosha, tofauti na wenzetu.Kujenga tunajenga sisi tusiokua na uhakika wa maisha, mtu anaweza kuwa na million 200 leo, lkn akipika hesabu hajua kama atawahi pata nyingine...kuwa safe na future anaamua kujenga....
Mtu hana uhakika kama watoto wake watapata ajira au watakuwa na maisha mbeleni- anajenga ili wawe na kwao...hakuna uhakika wa cash
Watu wanaiba, magumashi mengi...hawajui kama watapata nafasi hizo tena, kuwa safe na kupunguza matatizo ya mbeleni anaamua kujenga....
Waajiriwa-Government na Serikali- mtu akipiga mahesabu ya kustaafu au akipunguzwa kazi...anaona bora ajenge...ili kupunguz potential matatizo....
HIVYO TUNAKIMBILIA KUJENGA SABABU HATUNA UHAKIKA WA KESHO- NO CASH INAYOELEWEKA...
Nenda Masaki nimekuta wahindi wanapanga kwenye apartments mwaka wa 20...yaani wamezalia watoto hapo mpaka watoto nao wanajitegemea....Wanalipa tu 2.5 M kila mwezi, tena wakiamua wanalipa mwaka mwaka...
Kuna watu walijenga majumba, mikocheni, masaki, oysterbay huko, upanga....Sasa hivi wameyakimbia wanapangisha watu wenye liquidity na cash wapate kipato...wenyewe wanarudi mbezi beach huku..wengine nje ya mji huko..
Nimeona dada Mweusi kaolewa na Bwna wa Kizungu...Wana uza vifaa vya bomba, mashine etc...wamekaa sehemu mwaka wa 12....fully furnished property..kulipa kodi ni kama kununua kilo ya nyama....na hawana hata kiwanja na hawana presha ya maisha kabisaaa...
Hapo ndipo nilijifunza watu wenye uhakika wa kipato wanaulimwengu wao mwingine kabisa...wakati wewe unawaza kujenga kinyumba chako kwa kuungaunga..wao wanawaza vitu tofauti kabisa....
Na wakijenga wanajenga kweli nyumba....sio hizi sukuma wiki zetu..
Pia nimegundua..kwa miji mikubwa mfano DSM..Kuna wenye nyumba wengi ni maskini kuliko hata wapangaji wao....Na ndo maana mtu akichelewa mwezi tu..hali tete......
Nimefurahi juzi Rais Mama Samia katusii vijana tutengeneze uhakika wa vipato continuously na sio kutegemea mishindo ambayo haina mizizi...
MTOA MADA KIKUBWA NI KUWA NA UHAKIKA WA KIPATO CHA MIAKA....Waafrika tunakimbilia kujenga kwa sababu ya umaskini na kutokuwekeza kwenye future inayoeleweka..achana na hayo mawazo mgando..kama unawatoto watengenezee channel za mifereji ya pesa, waambie watafute pesa kwa haki...usiwaambie masuala ya kujenga..mwisho wa siku utagundua kumbe PESA ndo JIBU LA MAMBO YOTE...
Ronaldo Saudia Pale kapanga five star hotel..milllions of money...
TUTAFUTE KUWA NA CASH AND LIQUID ASSETS..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app