Mwanaume mzima unaishi Nyumba ya kupanga?

Mwanaume mzima unaishi Nyumba ya kupanga?

Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama

Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii 😄 anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?

Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.

Ukisema mpaka leo ina maana kutokea lini?
 
Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama

Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii [emoji1] anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?

Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
...Nyumba za Kupanga zinajengwa Kwa ajili Gani???....labda tuanzie Hapo, kwanza...!
 
Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama

Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii [emoji1] anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?

Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
Mbane mama yako akuoneshe baba Yako halisi kijana, una upungufu mkubwa wa maadali ,zungumza na mama yako taratiiibu atakuonesha baba yako
 
Bado kidogo utasema,

Mwanaume mzima, unaugua Hadi unalazwa!!

Ni kiburi Cha Uzima kinakusumbua.
 
Aiseee bongo mbona kila siku mapya yanaibuka.
Utashangaa mtoa content anaishi kwa shemeji aliyemuoa dada yake
 
Kiukweli huo ni ujinga unajiitaje mwanaume au gentlemen halafu unaishi nyumba ya kupanga hio si aibu? Yaani kabisa unajiita gentlemen halafu unaishi ya kupanga mpaka leo kiukweli huo ni umama

Inashangaza kabisa nyumba zilivyokuwa rahisi halafu utamkuta mburula mmoja anaishi kwenye nyumba za kupanga anahama nyumba hii 😄 anaenda nyumba yeye miaka yake yote anaishia kwenye nyumba miaka hebu badilikeni bwana nyumba national housing zinauzwa kwa bei rahisi halafu wewe unajihangaisha na nyumba za kupanga kweli wewe ni mwanaume? Au mdada mwenye muonekano wa kiume?

Kuishi kwenye za kupanga huo ni umama yaani kiukweli mimi nikimuona au nikijua mwanaume anaishi nyumba za nyumba namuhisi akili zake hazipo sawa au ni mdada mwenye muonekano wa kiume.
Watu wanaishi nyna za kupanga kodi ya mwaka unaweza kujenga nyumba.
Maisha mipango kila mtu ana mipango yake.
Wengine wamejenga nyumba wakaweka wapangaji wao wanaishi nyumba za kupanga downtown.
Maisha hayana formula haya.
 
Hii sio inawezekana ila i know ndio ulivo kwasb kipimo cha maono ya mtuu ni uwezo wa kufikiri mambo

Cha kwanza una dhihirisha kabsa unatokea dunia ya tatu katika familia ya hali ya chini ambayo watoto wakiume wanawaza kujenga kuoa kuzaliana

Aliekukalirisha kua kujenga ndio Uwanaume ni nani? unajenga nn hio nyumba ulio nayo unaweza Post apa ukaisifia?

wenzio wana run big bussness huku wanaishi kwa kulipa rent ambayo kwa mwaka anajenga nyumba kama yako 10
sasa uyu unamuambiaje?

Kama mafanikio yako nikujenga sawa uko sawa kivyako usipangie watu kwasb mwingine ameaua kupanga na anaendesha gari yenye thaman zaid ya nyumba na vitu vya ndan kwako kwenye maisha ni ku chagua

Watu wenyew mambo mwng huwa hawaz nyumba ya kukaa labda ajenge kwajili ya bussness lkn sio kwa mawazo yako ndugu yangu hauko sawa kbsa😂

naona ujitathimin ukiwa ndan ya kibanda umiza😂
 
Back
Top Bottom