Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Upendo unaodumu hauwi na msingi kwenye vitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili Ndo kundi linalochakaza wake za watu vibaya mnoWauza chips
Bodaboda
Mameneja wa bar
Wamiliki wa gesti..
Maofisa mikopo .
Waajiri..
Madereva taxi..
Wauza nguo za kike ..
Wapambe WA wenye nyumba za kupangisha...
Orodha ndefu tu
MuongoWanawake hawapendi mtu bana, we sema wanapenda vitu
Nna uhakika na wewe hujasalimika na Hilo kundiHili Ndo kundi linalochakaza wake za watu vibaya mno
Ngoja niolewe kwanza...nasikia wanajua kusimamia ukucha balaa 😋Nna uhakika na wewe hujasalimika na Hilo kundi
Njoo nikuoe mkuuNgoja niolewe kwanza...nasikia wanajua kusimamia ukucha balaa 😋
Kusex daily utaweza...Njoo nikuoe mkuu
Sio daily tu,me naweza kusex kila sekundeKusex daily utaweza...
Inategsmea na kipato jombaa,1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
😳wee,Sema Kweli!?Sio daily tu,me naweza kusex kila sekunde
Hiyo k naweza kuisugua hadi itoe moshi mweupe.😳wee,Sema Kweli!?
Hapo hapana ndugu,hatugombanii kombe la duniaHiyo k naweza kuisugua hadi itoe moshi mweupe.
Acha uogaHapo hapana ndugu,hatugombanii kombe la dunia
Suma JKT ni Mgambo waliochangamkaMbona Mimi ni askari wa Suma JKT lakini hawanipendi?
Wauza chips
Bodaboda
Mameneja wa bar
Wamiliki wa gesti..
Maofisa mikopo .
Waajiri..
Madereva taxi..
Wauza nguo za kike ..
Wapambe WA wenye nyumba za kupangisha...
Orodha ndefu tu
Hahahah kwahio tumekubaliana mnapenda hela tu 😂😂😂 ila huwa mnabugi kwa sababu wale ma banker hela sio zao. Wao wanakula 450 tukatika malundo yote yale.Hela ndio ya msingi na sio aina ya kazi.
Hii ni kweli kila mwaka tunapewa hela za shopping hatuwezi kuwa wachafu wachafu hahahahaHahahah kwahio tumekubaliana mnapenda hela tu 😂😂😂 ila huwa mnabugi kwa sababu wale ma banker hela sio zao. Wao wanakula 450 tukatika malundo yote yale.
Sema nahisi huwa benki inatoaga budget ya shopping ya viatu saa kali na mashati 😂😂😂 sijawahi kumuona officer wa bank mchafu mchafu
Tangu nilijue hili nawahurumiaga wanaume wanaofanya kazi benki sio siri, kushika shika hela za wenzao wakati wao apeche alolo, ila wateja wao wanawaona mambo safi kisa kupiga bling bling, lazima upate mfadhaiko wa akili😂Hahahah kwahio tumekubaliana mnapenda hela tu 😂😂😂 ila huwa mnabugi kwa sababu wale ma banker hela sio zao. Wao wanakula 450 tukatika malundo yote yale.
Sema nahisi huwa benki inatoaga budget ya shopping ya viatu saa kali na mashati 😂😂😂 sijawahi kumuona officer wa bank mchafu mchafu