stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Hawana formula maalumu...1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana formula maalumu...1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
Tangu nilijue hili nawahurumiaga wanaume wanaofanya kazi benki sio siri, kushika shika hela za wenzao wakati wao apeche alolo, ila wateja wao wanawaona mambo safi kisa kupiga bling bling, lazima upate mfadhaiko wa akili😂
Bwana muhimu ni pesa, mengine mbele kwa mbele.Hahahah kwahio tumekubaliana mnapenda hela tu 😂😂😂 ila huwa mnabugi kwa sababu wale ma banker hela sio zao. Wao wanakula 450 tukatika malundo yote yale.
Sema nahisi huwa benki inatoaga budget ya shopping ya viatu saa kali na mashati 😂😂😂 sijawahi kumuona officer wa bank mchafu mchafu
Dooh umeiacha taaluma yangu pendwa ambayo mtu akiwa nayo nampa hata kama hajaniomba...akatae mwenyewe1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
Kupendwa raha ati[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda watakaoanza kuzaliwa kesho.Waliopo sijawahi kuwaamini.Halafu,unatafuta kupendeka ili?
7. Mvutaji Bangi Mbobezi.1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
😁😁😁 kweliiiMuongo
1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
wewe siyo mfanyabiashara,wewe ni chingaMimi ni number 6 lakini hawanipendi sijui shida ni nini labda kwakuwa nabeba bidhaa mkononi !.
Sasa Genta bangi inaingiaje hapa7. Mvutaji Bangi Mbobezi.
Benki za kimataifa hizo sio za kwetu hizi labda akiwa meneja, halafu ni mkopo etiInategemea na bank...kuna bank mfanyakazi anakopa zaidi ya milioni 50 na riba asilimia 9 Tu.....sio malofa kihivyo
Wanawake wanataka pesa tu; mzibua mitaro/vyoo, msukuma toroli,mbeba maji/taka, mbeba mizigo, mchonga masanduku/jeneza, fanya mochwari, mwizi, muosha magari au utumbo wa kuku cha muhimu pesa mbele.1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
MwanasheriaDooh umeiacha taaluma yangu pendwa ambayo mtu akiwa nayo nampa hata kama hajaniomba...akatae mwenyewe
Pale mwanachuo hachomoki😂Tangu nilijue hili nawahurumiaga wanaume wanaofanya kazi benki sio siri, kushika shika hela za wenzao wakati wao apeche alolo, ila wateja wao wanawaona mambo safi kisa kupiga bling bling, lazima upate mfadhaiko wa akili😂