King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Shughuli nzitoPale mwanachuo hachomoki😂
Au bodaboda🤣🤣🤣🤣Na ukitaka mwanamke akutimue, mwambie wewe ni mwalimu au mkulima.
Aisee yaani ata mie nikiuza viwanja vya urithi nikawa na hela naweza kukupata eehHela ndio ya msingi na sio aina ya kazi.
🤣 UmeanzaAisee yaani ata mie nikiuza viwanja vya urithi nikawa na hela naweza kukupata eeh
Sasa kama umemkubalia andunje na ufupi wake kisa hela sii ata mie unaweza nikubalia nikiwa na hela.🤣 Umeanza
😂 Nampenda bwana, hela ya ziada tuSasa kama umemkubalia andunje na ufupi wake kisa hela sii ata mie unaweza nikubalia nikiwa na hela.
HahaaUkiweza kulipa vikoba kwa wakti,chama kwa wakti,michezo kwa wakti,unaitwa danga......umetoboa.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Mwee! Ulisha tuonyesha yule roho yako inapenda😂 Nampenda bwana, hela ya ziada tu
Sasa kashotii ndio yupo available 😂 nifanyaje?Mwee! Ulisha tuonyesha yule roho yako inapenda
Walimu kazi tunayo 😣😭Na ukitaka mwanamke akutimue, mwambie wewe ni mwalimu au mkulima.
mwanamke bado hajawahi kumpenda mwanaume bali pesa1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
Njoo kwangu unachotaka nitakupaa🤣🤣🤣🤣🤣Sasa kashotii ndio yupo available 😂 nifanyaje?
Ww ni mlinzi sio AskariMbona Mimi ni askari wa Suma JKT lakini hawanipendi?
Dah...... Yaani mmekwisha badilisha! Miezi 6 Sasa... Nimeajiri mtaalam wa lishe na mtaalamu wa mazoezi....nimetumia gharama kubwa kununua vifaa....halafu nimetengeneza siksipaki tayari nyie mnakuja kubadilika ghafla....hii haikubaliki....nitadai haki yangu 😳1. Uhasibu
2. Bank
3. Urubani
4. Udaktari
5. Uaskari
6. Mfanyabiashara
Tena sio ndogo mkuu.Lakini mbona mimi mwalimu na napendwa sana tu,tena na wadada warembo wenye figure nzuri.Walimu kazi tunayo [emoji21][emoji24]