Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Msitutishe mandazi nyie !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kututamanisha wengine unajua kabisa napenda pumbuhMm nna mapumbuz tuu hapa, kama kuna mtu anayataka aje pm
apo nisawa na game ipo livembona mm sina hata kimoja hapo! na bado nadunda hivyo hivyo tu. kipato chini ya 1$ per day, alaf fresh tu...
acheni ujinga wazee .Acha kututamanisha wengine unajua kabisa napenda pumbuh
Wivu utakumalizaacheni ujinga wazee .
30 ndio umri wa majuto juu ya yale makosa ambayo uliyafanya kwenye mahusiano, juu ya makosa ambayo uliyafanya kwenye zile fedha ambazo ulipata bahati ya kuzipata mapema ila ukazichezea zote kwenye starehe zikaisha bila kufanya la maana,1-Kazi/ajira ya kueleweka .
2-Familia
3-Assets kama nyumba,kiwanja n.k
zama za kufarijiana kwa wanaume zimepitwa .
Mimi ndo nakifikiria kwa sasa zaidiKuwa na watoto tu inatosha.
Braza chogo khery ya mwaka mpya....Wivu utakumaliza
Mi nna 42 sina kila kitu..1-Kazi/ajira ya kueleweka .
2-Familia
3-Assets kama nyumba,kiwanja n.k
zama za kufarijiana kwa wanaume zimepitwa .
Daaaa1-Kazi/ajira ya kueleweka .
2-Familia
3-Assets kama nyumba,kiwanja n.k
zama za kufarijiana kwa wanaume zimepitwa .
niko na 38 yrs nmegundua tunahitaji wanaume watakao jitambua mapema mapema30 ndio umri wa majuto juu ya yale makosa ambayo uliyafanya kwenye mahusiano, juu ya makosa ambayo uliyafanya kwenye zile fedha ambazo ulipata bahati ya kuzipata mapema ila ukazichezea zote kwenye starehe zikaisha bila kufanya la maana,
Juu ya mimba uliyomjaza huyo dada wakati huna hata mia ya kuhudumia, juu ya magonjwa ya zinaa uliyoyapata baada ya kujifanya mgambo kwa maana ya kutembeza rungu Kila pahala.
Juu ya kupotezewa muda na yule mshangazi aliyekuwa anakulea na ukawa unajiona uko na bahati ukabweteka na kusahau kutengeneza maisha yako binafsi na badala yake umetimuliwa huna kitanda wala godoro na umri umeenda kurudi nyumbani huwezi so upo unasumbua sumbua jamaa zako wakupe hifadhi ya pahala pa kulala.
Kwahiyo kwa hoja yako iko kwa wachache sana ila kwa walio wengi umri huo bado sana na hayo niliyoandika hapo juu ni kwa wale ambao walianza kuishi maisha ya uhuru mapema ila wale waliochelewa hiyo miaka 30 kwao ndio kuna kucha na watakuja kushtuka 35 huko.
Bila shaka hiki kitakuwa kitoto cha 2000’s
Nakusalimia mkuuu Ollachga Oc nimekukuta huku mkuuKuwa na watoto tu inatosha.
Hahaha nipo jamaniBraza chogo khery ya mwaka mpya....
Tuonane lini sasa! Unazingua
38? Mbona una akili za kitoto? Unahitaji ukomboziniko na 38 yrs nmegundua tunahitaji wanaume watakao jitambua mapema mapema
Aseeh vip kwema huko?Hahaha nipo jamani
ukweli unauma ila natembeza spana hivyohivyo hadi kieleweke38? Mbona una akili za kitoto? Unahitaji ukombozi
Ukweli gani mkuu? 😂ukweli unauma ila natembeza spana hivyohivyo hadi kieleweke
HallelujahCha msingi uwe na Yesu tu
hii inakua well applicable in western and middle east culturelife begins @ 40. 😁