Voice Of Tanganyika
Member
- Apr 2, 2024
- 16
- 25
Kwenye maisha akuna kuchelewa Wala Kuwait kikubwa uzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hivi yule jamaa ugumu wangu alikupa laptop yako?Niaje mkuu
Ni rahisi tuSio rahisi hivyo
🖕ukweli unauma ila natembeza spana hivyohivyo hadi kieleweke
Tunatoaga shuhuda zetu humu ila wanatuona kama vile tunafurahisha genge, maisha hayana kanuni kabisa. Yanaweza yakakunyookea ukiwa 26 mpka 50 ila kuanzia 51 ukaanza kuwa na maisha magumu ukatamani ufe.Nyuzi kama hizi si tulikubaliana mwisho 2024? Mleta uzi elewa maisha hayana kanuni. Mimi nili-graduate nikiwa na miaka 23 nikawa nashangaa mtu anafikaje miaka 30 hana nyumba, gari, familia wala Masters? Baada ya graduation nilianza vizuri maisha ya kitaa hasa kwenye ujasiriamali. Mabalaa yalianza nilipoigusa 26yrs... hadi kufika 28yrs nilijikuta niko naishi kwenye chumba kimoja maeneo ya Landabaa Kigogo huku nikiwa namiliki godoro tu na jiko la mchina. Kuja kusimama tena ilipita miaka mingine kadhaa... ACHA HIZO FIKRA POTOFU.
Na kimepata ajira hivi karibuni.Bila shaka hiki kitakuwa kitoto cha 2000’s
Kabisa mkuu.Tunatoaga shuhuda zetu humu ila wanatuona kama vile tunafurahisha genge, maisha hayana kanuni kabisa. Yanaweza yakakunyookea ukiwa 26 mpka 50 ila kuanzia 51 ukaanza kuwa na maisha magumu ukatamani ufe.
Izo fikra za watu wa njee ya majiji. Wanakuwa wanafikiri maisha yanaenda kama umri unavyokuwa, kumbe tofauti sana. Umri unaweza ukaenda ila maisha yasiende ndugu. Kuwa mpole maisha sio mashindanoNyuzi kama hizi si tulikubaliana mwisho 2024? Mleta uzi elewa maisha hayana kanuni. Mimi nili-graduate nikiwa na miaka 23 nikawa nashangaa mtu anafikaje miaka 30 hana nyumba, gari, familia wala Masters? Baada ya graduation nilianza vizuri maisha ya kitaa hasa kwenye ujasiriamali. Mabalaa yalianza nilipoigusa 26yrs... hadi kufika 28yrs nilijikuta niko naishi kwenye chumba kimoja maeneo ya Landabaa Kigogo huku nikiwa namiliki godoro tu na jiko la mchina. Kuja kusimama tena ilipita miaka mingine kadhaa... ACHA HIZO FIKRA POTOFU.
😂Cha msingi uwe na Yesu tu
Hakika yani kila kitu kitakua sawa nilipoteza vyote ila Yesu kristo wa nazaleth alikua mfarijiCha msingi uwe na Yesu tu
Duuuh umenichekesha boya weeee😂😂😂😂😂😂😂Mm nna mapumbuz tuu hapa, kama kuna mtu anayataka aje pm