Mwanaume ukifika miaka 30 hakikisha una moja kati ya hivi

Mwanaume ukifika miaka 30 hakikisha una moja kati ya hivi

Wengi waliopata kimoja kati ya hivyo ndio huja na mada za namna hii kwa kujifariji kua at least wameyapatia maisha.
 
Ongezea na mshangazi pia .

Mi hapo kwenye nyumba wala sikuungi mkono maana duniani tunapita tuu
..
Hao wanangu na wenyewe watajipambania wenyewe hakuna kulea lea ujinga hapa
 
Nyuzi kama hizi si tulikubaliana mwisho 2024? Mleta uzi elewa maisha hayana kanuni. Mimi nili-graduate nikiwa na miaka 23 nikawa nashangaa mtu anafikaje miaka 30 hana nyumba, gari, familia wala Masters? Baada ya graduation nilianza vizuri maisha ya kitaa hasa kwenye ujasiriamali. Mabalaa yalianza nilipoigusa 26yrs... hadi kufika 28yrs nilijikuta niko naishi kwenye chumba kimoja maeneo ya Landabaa Kigogo huku nikiwa namiliki godoro tu na jiko la mchina. Kuja kusimama tena ilipita miaka mingine kadhaa... ACHA HIZO FIKRA POTOFU.
Tunatoaga shuhuda zetu humu ila wanatuona kama vile tunafurahisha genge, maisha hayana kanuni kabisa. Yanaweza yakakunyookea ukiwa 26 mpka 50 ila kuanzia 51 ukaanza kuwa na maisha magumu ukatamani ufe.
 
Na wale wa kataa ndoa si vibaya wakawa na watoto tu wa kuwahudumia inatosha, mama yao akalale mbele.
 
Tunatoaga shuhuda zetu humu ila wanatuona kama vile tunafurahisha genge, maisha hayana kanuni kabisa. Yanaweza yakakunyookea ukiwa 26 mpka 50 ila kuanzia 51 ukaanza kuwa na maisha magumu ukatamani ufe.
Kabisa mkuu.
 
Nyuzi kama hizi si tulikubaliana mwisho 2024? Mleta uzi elewa maisha hayana kanuni. Mimi nili-graduate nikiwa na miaka 23 nikawa nashangaa mtu anafikaje miaka 30 hana nyumba, gari, familia wala Masters? Baada ya graduation nilianza vizuri maisha ya kitaa hasa kwenye ujasiriamali. Mabalaa yalianza nilipoigusa 26yrs... hadi kufika 28yrs nilijikuta niko naishi kwenye chumba kimoja maeneo ya Landabaa Kigogo huku nikiwa namiliki godoro tu na jiko la mchina. Kuja kusimama tena ilipita miaka mingine kadhaa... ACHA HIZO FIKRA POTOFU.
Izo fikra za watu wa njee ya majiji. Wanakuwa wanafikiri maisha yanaenda kama umri unavyokuwa, kumbe tofauti sana. Umri unaweza ukaenda ila maisha yasiende ndugu. Kuwa mpole maisha sio mashindano
 
Hata mimi nilipokuwa na akili za kitoto kama mtoa mada nilikuwa nikishangaa kwanini watu wako mjini muda mrefu hawana maisha, nyumba, familia labda hata na usafiri.
 
Back
Top Bottom