Mwanaume ukifika miaka 30 hakikisha una moja kati ya hivi

Mwanaume ukifika miaka 30 hakikisha una moja kati ya hivi

Vijana wanajidanganya sana wakiwa na kiwanja cha miguu mitano kwa mitano na kibiriti cha kutembelea wanaona wenzao wanacheza.

Ndiyo kilichokuja kumkuta Chief Godlove ,alijiona ana pesa sana siku alivyoenda kwa Lugumi akajiona ni masikini wa kutupwa na Lugumi akampa milioni 10 akatoe offer kwa wanywaji bar...yeya akigaia boda boda laki 2 kwa kuzirusha juu alikuwa anajiona ana fedha.

Maisha ni kuridhika ,Wahadzhade wameridhika na maisha yao ya kijijini ,hajui S24 Ultra wala,G wagoni "blablasi" au "Meibaki" ila wanaishi kwa furaha ,same na sisi ,chumba kimoja ,simu ina afu tatu ,ndani una kilo moja ya sembe maisha yanaenda fresh.

Kidogo chetu mimi na wewe kikubwa cha BALABUU ,mali zao zisifanye upagawe.
Vijana wanaotokea Familia za kifukara wakifanikiwa kidogo tu huwa Wanaingia mitandaoni kuonyesha ushamba wao
 
Nyuzi kama hizi si tulikubaliana mwisho 2024. Mleta uzi elewa maisha hayana kanuni. Mimi nili-graduate nikiwa na miaka 23 nikawa nashangaa mtu anafikaje miaka 30 hana nyumba, gari, familia wala Masters? Baada ya graduation nilianza vizuri maisha ya kitaa hasa kwenye ujasiriamali. Mabalaa yalianza nilipoigusa 26yrs... hadi kufika 28yrs nilijikuta niko naishi kwenye chumba kimoja maeneo ya Landabaa Kigogo huku nikiwa namiliki godoro tu na jiko la mchina. Kuja kusimama tena ilipita miaka mingine kadhaa... ACHA HIZO FIKRA POTOFU.
Kabisa aisee....maisha yana mengi
 
Life is mystery only God can understand this mystery.

Kikubwa Sana Mungu akupe Afya njema ya mwili na Akili
Akupe kujitambua.

Then kuwa na ukomavu wa akili wa kuamini katika Muda na nafasi time and space.

Money ,
Family
Business

Yote haya huwa ni matokeo Ila sio mchakato.

So ukiwa na Afya njema ya mwili na akili , na kujitambua plus GOD means utaingia katika mchakato na ukifanikiwa ndo utapata hayo yote .


Age is nothing but a number .

Always I believe in achieve great things doesn't matter what the time its will take
 
Nyuzi kama hizi si tulikubaliana mwisho 2024. Mleta uzi elewa maisha hayana kanuni. Mimi nili-graduate nikiwa na miaka 23 nikawa nashangaa mtu anafikaje miaka 30 hana nyumba, gari, familia wala Masters? Baada ya graduation nilianza vizuri maisha ya kitaa hasa kwenye ujasiriamali. Mabalaa yalianza nilipoigusa 26yrs... hadi kufika 28yrs nilijikuta niko naishi kwenye chumba kimoja maeneo ya Landabaa Kigogo huku nikiwa namiliki godoro tu na jiko la mchina. Kuja kusimama tena ilipita miaka mingine kadhaa... ACHA HIZO FIKRA POTOFU.
Huyuu bado mtoto
 
Niko na 34 niko kwa wazazi sina hata tairi ya baiskeli na lelewa tuu na mshangazi hapaaa aseee
 
Hallelujah
Mungu akubariki sana sana
Hivyo vingine ni ziada ya maisha japo ni muhimu sana .
Maisha tunayatafuta moaka tunakufa
Nilipokuwa sina hivyo vyoote niliangaika kuvutafuta lakini mungu aliweka ndani ya mwanadamu ham ya kutafuta kitu na si kingine ila kumtafuta yeye
Amen,hata walikuwa navyo Awana furaha
 
Nitajenga na ataekuwa mumewangu tusitishane 😀
Mindset ya wachache sana hii, Wengine wanadai kwamba wanataka kuolewa na Man mwenye Pesa, Appartment, Nyumba, Gari nk

Ila kama wewe una plan ya kutafuta na mmeo pamoja, Kongoe kwako. 👏
 
Umeangea point ila at least uwe kimoja kat ya hivo
 
Back
Top Bottom