Mwanaume ukifika miaka 30 hakikisha una moja kati ya hivi

Vijana wanaotokea Familia za kifukara wakifanikiwa kidogo tu huwa Wanaingia mitandaoni kuonyesha ushamba wao
 
Kabisa aisee....maisha yana mengi
 
Life is mystery only God can understand this mystery.

Kikubwa Sana Mungu akupe Afya njema ya mwili na Akili
Akupe kujitambua.

Then kuwa na ukomavu wa akili wa kuamini katika Muda na nafasi time and space.

Money ,
Family
Business

Yote haya huwa ni matokeo Ila sio mchakato.

So ukiwa na Afya njema ya mwili na akili , na kujitambua plus GOD means utaingia katika mchakato na ukifanikiwa ndo utapata hayo yote .


Age is nothing but a number .

Always I believe in achieve great things doesn't matter what the time its will take
 
Huyuu bado mtoto
 
Niko na 34 niko kwa wazazi sina hata tairi ya baiskeli na lelewa tuu na mshangazi hapaaa aseee
 
Amen,hata walikuwa navyo Awana furaha
 
Nitajenga na ataekuwa mumewangu tusitishane πŸ˜€
Mindset ya wachache sana hii, Wengine wanadai kwamba wanataka kuolewa na Man mwenye Pesa, Appartment, Nyumba, Gari nk

Ila kama wewe una plan ya kutafuta na mmeo pamoja, Kongoe kwako. πŸ‘
 
Umeangea point ila at least uwe kimoja kat ya hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…