Mwanaume ukitumiwa meseji hii bila kuuliza ujue wewe ni mnoma sana kunako kitanda

Huyo mkurya umemtoa wapi?
Hayuko romantic kabisa hata havutii...
Mwombe kungwi Shunie akamfunde[emoji23]
 
Demu wako anaonekana aliikimbia shule mapema, Kama vipi mrudishe darasani akajifunze tofauti kati ya /r/ na /l/
 
Me kwa hizo jumbe za huyo mwanamke ningem-block.
 
akili hizo tulikuwaga nazo zamani na tushasifiwa sana huo ujinga but asikudanganye mtu show nzuri ni ya kuingiza kitu fulani mfkoni unakiona na unaweza fanyia kitu chochote syo kuridhisha hao ngombe mtapangwa kusifiwa hata kumi kumbe unasetiwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…