Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Iko hivi jamaa lake limeona demu ni mzigo lime mshauri arudi kwenye ndoa yake demu akaona haina jinsi arudi tu sasa ukilrudisha lijamaa litamrudia tena hivi sasa mtakuwa wanaume wawili ukitaka kuelewa hili ataanza kukunyima baadhi ya siku akijua ametiwa nje hapo ndipo utakapoanza kulia na kusaga meno hutokuwa na ushahidi tena wa kumtia hatiani. Piga chini, kaza moyo, na songa mbele kiume.
 
Mambo n magumu sana kwakweli
Wakristo wengi ndiomana 2nachelewa kuoaa
 
Back
Top Bottom