mimi demu mwenye wigi halafu linatoa harufu mbaya, hata awe mzuri vipi, baada ya "kumalizananae", lazima nimkimbie. simrudii tenaHello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Anaonekana kama parachichi za tukuyu sio?Mi mwanaume asiye na vinyweleo mwilini hata vya kuzugia ....hapana
[emoji1787]Daah sasa kama haisomi tu kakukosa je ambao hatuvai kabisa si utatuuwa ?
🤣🤣🤣🤐Anaonekana kama parachichi za tukuyu sio?
🤣🤣Mi nimeandika tu mkuu....mi kiukweli kipaumbele changu ni mkono wa mtotoMwingine huyu[emoji1] mnachagua sana madam
Yaan shida tupu😂[emoji2][emoji2][emoji2] Dunia haishiwi maajabu.
Sis pia ni viumbe wa Mungu. Mtuonee hurumaAnaonekana kama parachichi za tukuyu sio?
Kesho nawahi kuweka kimeo changu betriHello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Kuvaa saa ya mkononi isiyosoma majira inabeba tafsiri nyingi sana.. bora sisi tusiovaa kabisaHello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Uchi wenyewe unao!?..mnato au ndiyo mpaka nichungulie Kama imo ndani au laa!?..Ina joto!?Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Msalimie FloraLeo na mimi wa mwanzo mwanzo kukomentiiii...asavali
Nilivyosoma tittle nikajua unachukia mwenye mkono wa sweta,Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
Ni saa hii ya kuvaa mkononi au ni code mpya umetumia?😂Mmmh