Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
🤐🤗Daaa naomba Mungu mke wangu asiwaze kama wewe
🤣Kwahiyo mmehamia kwenye saa
Au ni mimi sijaelewa saa gani
No,ni ivoivo....sema hatimaye vibamia wamepumzishwaAu ni mimi sijaelewa saa gani
Wenye saa zao wamekumbukwa 😂No,ni ivoivo....sema hatimaye vibamia wamepumzishwa
KabisaWenye saa zao wamekumbukwa 😂
Ngoja kesho nikanunue saaKabisa
Utakosa mke sasaNgoja kesho nikanunue saa
Ntakuwa makini iwe inasoma maajira vizuriUtakosa mke sasa