🤣🤣🤣Hapo, utakuwa umempataNtakuwa makini iwe inasoma maajira vizuri
Nitakua natembea nanyoosha mkono juu ili muione 😂🤣🤣🤣Hapo, utakuwa umempata
Kwasababu tunasoma saa kwenye simu, asilimia kubwa watu wana vaa saa kama utanashati tu, na kwasababu huwezi kuvaa kitu kingine mkononi kitaonekana bangili, inabidi uvae tu hiyo saa, that's why we don't care kama inafanya kazi au la.Hello,
Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa.
Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi haisomi majira aisee
Badilikeni
😂Mi Sina interest na hzo kituNitakua natembea nanyoosha mkono juu ili muione 😂
njoo na ile ID nyingine, ile hachomoiSaa zangu zinasoma majira uko wapi nikuoneshe ukuu wa Mungu.
Unawasaliti wenzako sio😂Mi Sina interest na hzo kitu
🤣🤣🤣Unawasaliti wenzako sio
Upepo ndio ushahamia huko, ufuate😂
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣njoo na ile ID nyingine, ile hachomoi
Hapana aiseeUpepo ndio ushahamia huko, ufuate😂
unafeli sana, niuzie ile nyingine bwashee🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hahahahah unataka ung'olee mama. Ile iko mahabusuunafeli sana, niuzie ile nyingine bwashee
hahahaha, ukinipa ile naacha nyetoHahahahah unataka ung'olee mama. Ile iko mahabusu
Wewe ilimradi awe anapumua tu 😂😂Hapana aisee