Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Kwamba kunuka mdomo Ni ugonjwa usiotibika sio?
Chukua sentesi niliyoandika ,"Money isn't everything"
Mambo mengine legeza mishipa ya kichwa usichikulie Kila kitu unachokiona serious kama tunajibu NECTA
 
Chukua sentesi niliyoandika ,"Money isn't everything"
Mambo mengine legeza mishipa ya kichwa usichikulie Kila kitu unachokiona serious kama tunajibu NECTA
Money isn't everything in all other planets BT not here on Earth!
 
Pesa Sabuni ya Roho, Mtu mwenye pesa andika sio Mwenzio. Aliimba Rich One.


Mwanaume Ukiwa na Pesa na una familia Hata ukijieleza unaeleweka na unaonekana ni singoboi kabisa na Unapewa unachotaka.

Kosa Pesa hata Kwenye Ukoo hushirikishwi unapewa tu taarifa na ukihudhuria vikao wanakuletea kinywaji mirinda nyeusi hata bila kukuuliza utakunywa nini.
Taarifa,kwenye pesa sio mwenzio aliimba marijani rajabu,huyo mbongo fleva kakopi tu
 
siku utakapokuja kukataliwa na hela zako ndio utajua kweli hukuwa unajua vyote😆😆
 
Pesa na Umaarufu. UnadhanI mke wako au demu wako akitakiwa na Alkiba au Mondi au Elon musk atakaataa? 🤣 tena mwanamke akiona mtu maarufu anachanganyikiwa kabisa anaweza kuvua nguo
 
Back
Top Bottom