Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Wewe umeniquote mboni Nani amekulazimisha nimekwambia inabidi uthibitishe kauli yako kua Mimi ni mwanamke nikupe ujauzito Ila uprove kua Mimi ni mwanaume sio mwanamke au hilo la kupewa ujauzito linakuchanganya kidogo kwamba toka lini mwanamke akampa ujauzito Mwanamke mwenzie au sio ?
Nimekuambia mpe pesa
Maneno yasiwe mengi
Mwanamke kwenye pesa hachomoki ng'o!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hawajui heka heka wanazokutana nazo mabro wao wenye hela 😂😂

Ukute tunajadiliana na vijana wa 27/28 yrs. Hawana case study za maana , zaidi ya vitoto vyezao vya shule.

Kuna muda mtu anakuwa na hoja uchwara unabaki unaishangaa tu. Maana haiko applicable kabisa. Kwanza wao wenyewe sio K zote wanapita nazo, lazima waselect.
Mimi niliacha kutumia pesa kuanzisha mahusiano baada ya kuona pamoja na kutumia pesa hakuna nachokipata..Pamoja kua na pesa sio free ticket ya kupata kila mwanamke,,,i agree with you
 
Mimi niliacha kutumia pesa kuanzisha mahusiano baada ya kuona pamoja na kutumia pesa hakuna nachokipata..Pamoja kua na pesa sio free ticket ya kupata kila mwanamke,,,i agree with you
Depal kapata mtetezi, mwamba huyu hapa.

Licha ya kutumia pesa hukupendwa sasa hapo ni lazima kuwe na sababu kuwa kujua wanawake wanataka nini ni kazi pia ila pesa ni muhimu, mwanamke ukiona kakuchoka ujue kuna danga lingine linamjengea nyumba kabisa.
 
Kumbe unaelewa.

Sasa huko juu ulitaka kubisha nini? Anaweza kuwa na hela ila mvutoless. Anachomolewa nje vizuri kabisa.
Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..

Hii scenario nyie wanawake mnaielezea vipi, mtasema hao wanawake mioyo yao ilimkubali mwanaume mzee mwenye miaka 77, huyu mzee aliwavutia nini mbali na pesa? Leejay49 To yeye Depal
 
Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..

Hii scenario nyie wanawake mnaielezea vipi, mtasema hao wanawake mioyo yao ilimkubali mwanaume mzee mwenye miaka 77, huyu mzee aliwavutia nini mbali na pesa? Leejay49 To yeye Depal
Pesa ilihusika.
 
Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..

Hii scenario nyie wanawake mnaielezea vipi, mtasema hao wanawake mioyo yao ilimkubali mwanaume mzee mwenye miaka 77, huyu mzee aliwavutia nini mbali na pesa? Leejay49 To yeye Depal
Kumbe ni kijijini.
Wa mjini hawadanganyiki kirahisi
 
Kumbe ni kijijini.
Wa mjini hawadanganyiki kirahisi
Hata mjini dar, kuna vibinti vya shule ya msingi vilikuwa vinaenda nyumbani kwa babu yangu kumtukana huyo mke aliemuoa..huyo mke aliemuoa saa ingine anatoka safarini anapigwa kikumbo mlangoni na mwanamke mwingine aliyekuwa ndani, kwa macho yangu mawili kuna binti wa chuo alikuwa anasafiri km 600 kutoka dar, kumfuata babu yangu kijijini, na huyo babu yangu hata gari la kuendesha alikuwa hana

Kuna mwanamke mwingine mzuri kweli, white ana chura na hips, alisafiri toka dar kumfata babu yangu kijijini, yani alitumiwa nauli na akaja, nilishangaa kweli..wakati sisi vijana wengine kuliwa nauli nje nje

Nikajiuliza ina maana wanaume tumeisha kiasi hiki?? hao wanawake wamekosa kabisa wanaume, hadi wachukue mzee? Depal
 
Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..

Hii scenario nyie wanawake mnaielezea vipi, mtasema hao wanawake mioyo yao ilimkubali mwanaume mzee mwenye miaka 77, huyu mzee aliwavutia nini mbali na pesa? Leejay49 To yeye Depal
🤗
 
nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..
😅😅😅😂😂😂😂, itoshe tu kukili sisi ni majasiri na hatujui tunataka nini 😂🙌
 
Back
Top Bottom