Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Mbona mimi pesa ninazo..kazi ipo..uHB na mwili wa kiume lakini kila nikifuata naambiwa yuko double..hata hapa JF kuna mtu nilitaka kuoa kabisa kaniambia yupo na mtu na kanikimbia hajibu hata PM zangu tena
Kaoge maji ya mpapai au mtafute mshana akutoe hilo gundu.

Amna mwenye pesa aliye teseka na mapenzi kama akitaka kula papuchi.
 
ye34nbe atapita kutoa dislike.

Ila ukweli ndio huo.

Pesa ndio pattern pekee ya kufungua kila chupi avaayo mwanamke
Hahaha huyu jamaa mpaka nilihisi siyo mtu wa kawaida..nilihisi ananifuatilia nikachukua tahadhari sana juu yake kumbe analike na kudislike kila mahali aisee
 
Daah swali fikirishi sana😂😂😂😂
Panapo majaalowa huenda kuna ipo inanisubiri lkn sipanngi mimi
Kumbe bado hujaweka ndani...fanya faster hilo zoezi halihitaji mjadala😅😅
 
Ukiwa na hii mentality huwezi kuwa na maisha ya Furaha, maana ukiwa na wanawake wote wakawa wako huna faida yeyote. W
Tunasema ukweli mkuu maana uongo hutoweka mtu wazi.
 
Mimi sijui kwa nini watu wana utoto wa kutukana watu bila sababu tena mitusi mizito ya wazazi.
 
Back
Top Bottom