Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Forever and alwaysAntonnia
Daah wewe dada😂Forever and always
Samaleko mkuu
Mie mmama mkuu!Daah wewe dada😂
Kwangu ni dada, mama kwa mwanai😂😂😂Mie mmama mkuu!
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣!Kwangu ni dada, mama kwa mwanai😂😂😂
Nilimiss hili sabatamu ewaaa😘😘😘🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣!
Ila sii unagegeda. Basi inatosha kusema kuwa kugegeda oyeeeeeeKila mtu ana hulka yake ndugu tumetofautiana sana, kugegeda kupo ila sio kipaumbele changu boss.
Kwenye Ngoma ya Zali la Mentalipesa sabuni ya roho
AiseeeKuna mwanamke akimuona mwanaume wa aina fulani mbele yake tu tayari ameshalowa kitamboooo. Hakunaga formula maalumu mkuu. Ila pesa ni muhimu kuitafuta ili ikupe urahisi wa kutimiza hayo yote. Maana unaweza pendwa ukakosa pesa ya kumtunza au kumpeleka hata Lodge tukiachana na Hotel
Sema asilimia 99% hapo sawa.90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo.
ila bro we ni mpana sana .... endelea kushusha nondoWako wengi huku mtaani wamehamishia mapenzi kwenye pombe baada ya aliyempa kila kitu kuanzisha mahusiano na muuza butcher anayempa nyongeza ya utumbo.
Hahaha siri yangu mkuuKwsni unazitaka mpya?😂
Ushasomeka kaijana😂😂Hahaha siri yangu mkuu
90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo.
Taarifa fupi ni hii.
Mkuu kwani umeshafikia mwisho?Ushasomeka kaijana😂😂
Fahari ya mpumbavu ni kula kila keUkiwa na hii mentality huwezi kuwa na maisha ya Furaha, maana ukiwa na wanawake wote wakawa wako huna faida yeyote. W
Daah swali fikirishi sana😂😂😂😂Mkuu kwani umeshafikia mwisho?