Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
š«¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanasemaga tu ili waonekane mawife material na wapambanaji kumbe amna kitu...hakuna mwanamke asiyependa helaAsante kwa kuusema ukweli achana na wale wanawake fake wanaosema money is not everything
Uoewe maua yako.wanasemaga tu ili waonekane mawife material na wapambanaji kumbe amna kitu...hakuna mwanamke asiyependa hela
nayapokea kwa mikono miwili šUoewe maua yako.
Ebu njoo pm uje uchukue hela yako ukaenjoy hii wikend
Ili uwe na case study valid unapaswa kuwa na umri gani?Hawajui heka heka wanazokutana nazo mabro wao wenye hela šš
Ukute tunajadiliana na vijana wa 27/28 yrs. Hawana case study za maana , zaidi ya vitoto vyezao vya shule.
Kuna muda mtu anakuwa na hoja uchwara unabaki unaishangaa tu. Maana haiko applicable kabisa. Kwanza wao wenyewe sio K zote wanapita nazo, lazima waselect.
Utasemaje unaishi maisha mazuri kama hugegede pisi kali au mwenzetu wee unagegeda range rover, ghorofa na yatch unazomilikiHii ni kwa wale wanaotafuta pesa ili kuwapata wanawake , haituhusu wale tunaotafuta pesa ili kizazi chetu kiishi maisha mazuri mkuu.
Sio kweliNot only pesa. Na moyo ukukubali.
Moyo ukikataa, wewe na hela zako mtachacha.
Mbna sina taarifa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe hujui pesa haijifichi kwa anaye jua matumizi [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ukiwa huna pesa tunakuwa tumeolewa kabisa [emoji23][emoji23]
Mbona mimi pesa ninazo..kazi ipo..uHB na mwili wa kiume lakini kila nikifuata naambiwa yuko double..hata hapa JF kuna mtu nilitaka kuoa kabisa kaniambia yupo na mtu na kanikimbia hajibu hata PM zangu tena90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo.
Taarifa fupi ni hii.
Kila mtu ana hulka yake ndugu tumetofautiana sana, kugegeda kupo ila sio kipaumbele changu boss.Utasemaje unaishi maisha mazuri kama hugegede pisi kali au mwenzetu wee unagegeda range rover, ghorofa na yatch unazomiliki
Kweli Kabisa shoss akeee pesa tamu ila mapenzi hisiaaaa!Ila kuzagamuliwa na mtu humpendi eti kisa pesa aaaah, mie mbna siweziiii naona km uhaini wa nafsi yangu
Mtu umpendee na umkubalii, kuna feelings fulaan zinakujaa aaaaah, woiiiiiiiih
Ila pesa tamu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiwoooo shogareeee akeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Kabisa shoss akeee pesa tamu ila mapenzi hisiaaaa!
Ila hapo pa eti mwanaume akiwa na hela kila mwanamke anakua singo hapana kwakweli sio wote!Ndiwoooo shogareeee akeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana akeeeIla hapo pa eti mwanaume akiwa na hela kila mwanamke anakua singo hapana kwakweli sio wote!
Kwsni unazitaka mpya?šTusio na pesa tunapitia magumu jamani...
AntonniaIla hapo pa eti mwanaume akiwa na hela kila mwanamke anakua singo hapana kwakweli sio wote!