Mwanaume uliyepo ndani ya ndoa kama huchezi mechi za nje eti kisa heshima kwa mkeo jitafakari mara mbili

Mwanaume uliyepo ndani ya ndoa kama huchezi mechi za nje eti kisa heshima kwa mkeo jitafakari mara mbili

Mwanamke anayechepuka kwa sababu ya kubadili ladha anakuwa na hulka ya umalaya,

Tunachepuka kwa kusababishiwa, niamini ukimpa mwanamke wako attention yako uwezekano wa kucheat Ni mdogo Sana au haupo kabisa,

Umenisikia wewe mwenye IQ ya bata
Hahah tusidanganyane hapa nimeona wanaume wenzangu wengi wamefanya unayoyasema hayo sijui mpe attention mara vikolokolo vingi nabado wanawake wao cheat.

usidhani wanaume wote hatuwaelewi wanawake tabia yenu ya kufanya makosa na kumtafuta wa kumtupia mpira eti kuchepuka tunasababishiwa hata aibu hauoni mngekua ni maroboti mnakontoriwa kweli ningeamini .

samson alimpa delila attention na mahaba yote na bado alisalitiwa na huyu naye alisababishiwa ? Photifa alikuwa anamsikiliza mkewe na kumpa attention yote ila mkewe alitakulala na yusuf huyu naye alisababishiwa ?

aisee bado sana uongo huo kawadanganye bata wenzio
 
Nyie endeleeni kuchepuka tu aisee mpaka sasa sielewi ile grid ya taifa ilinikosa vipi? Sasa hivi nipo benchi
 
Ukiwa na uwezo wa kumega au kumegwa fanya hivyo. Maisha yenyewe mafupi. Mie nawavizia wake za watu walewe kwenye vigodoro,baikoko,vanga,matarumbeta na ngoma nyengine za asili ili nijigongee
 
Sio kweli hii mkuu, kihisia hatufananu na hawa ndgu zetu wanawake, kusema nao wanataman kubadili wanaume kama sisi huo ni uongo kabisa. Hawajaumwa hivo mtoa mada kasema ukweli kabisa libido kwa mwanaume ni juu kuliko mwanamke mzee. Na mwanamke anaweza date na mwanaume mmoja kwa muda mrefu tofauti na sie macho juu juu mda wote kila mtu unamtamani.
Izo statement zako zinaaply kwa wanawake wachache na ni aslimia ndogo tu.
😂😂😂kijana utapata tabu sana ukiendelea kukalili wanawake wanafikili tofauti na sisi tena wanawake hawa 21 centual jiandae kupata heart attack mda wowote.sijui hujawi kuwasikia wakisema "what man can do, woman can do best"
 
Bado nitazidi kukazia kumpata mke wa mtu ni rahisi kushinda kumpata kahaba trust me.


Yaani ili umle kahaba itakulazimu ufanye kazi upate pesa ili ukamnunue lkn mke wa mtu hata washikaji wasio na michongo wanao jamba jamba tu kitaa wanazigusa mbususu za wake zenu ili mradi tu wajue kutunza siri na privacy.


Yaani ili mke wa mtu ashinde getoni kwako kila siku CV yako ni kuwa mtunza siri tu na heshima kimtindo basi. Utakula wake za watu hadi wenye mimba wote .sihamasishi ila wanaume huo ndio ukweli wa jinsi hao wake zenu wanao wapigisha kwata wanacho kifanya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kijana utapata tabu sana ukiendelea kukalili wanawake wanafikili tofauti na sisi tena wanawake hawa 21 centual jiandae kupata heart attack mda wowote.sijui hujawi kuwasikia wakisema "what man can do, woman can do best"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] muache kijana labda yupo kwenye ndoa mpya aendelee na libido zake
 
😂😂😂kijana utapata tabu sana ukiendelea kukalili wanawake wanafikili tofauti na sisi tena wanawake hawa 21 centual jiandae kupata heart attack mda wowote.sijui hujawi kuwasikia wakisema "what man can do, woman can do best"
Sio kwa muktadha huo mkuu, kwenye suala zima la ngono ndgu yangu tumewaacha mbali sana. Japokua anatafutwa na wengi ila anawakubali wachache na kusex na wachache vile vile mwanaume anatafuta wengi kwa mbinde na kugegeda wengi vile vile. Mwanaume kamili anaweza kugegeda hata madem 3 kwa siku kwa nyakati tofauti, ni wanawake wachache wenye uwezo huo. Hisia za mwanamke ziko mbali mkuu sisi ukiona titi imoo.

Wanaweza kuwa na hulka izo za kua viruka njia, ila yote kwa yote wanaume ni zaid ndgu yangu ndio maana wanajiuza na tunawanunua, ushawai ona mwanaume anajiuza 😂😂
 
Bado nitazidi kukazia kumpata mke wa mtu ni rahisi kushinda kumpata kahaba trust me.


Yaani ili umle kahaba itakulazimu ufanye kazi upate pesa ili ukamnunue lkn mke wa mtu hata washikaji wasio na michongo wanao jamba jamba tu kitaa wanazigusa mbususu za wake zenu ili mradi tu wajue kutunza siri na privacy.


Yaani ili mke wa mtu ashinde getoni kwako kila siku CV yako ni kuwa mtunza siri tu na heshima kimtindo basi. Utakula wake za watu hadi wenye mimba wote .sihamasishi ila wanaume huo ndio ukweli wa jinsi hao wake zenu wanao wapigisha kwata wanacho kifanya.
Ukweli ndio huo na tunaujua wanaume bachera tu ila sasa hawa wenzetu walioa wanaona kama tunaweweseka jumrisha na wanawake wanaokuja kutoa komenti za kuficha uchafu huu hii ndio wanatuona kama wachawi
 
Dunia sphere mi nishazoea hapa kazini mpaka naona aibu. Nimeshakula wake za watu 4 na bado kuna foleni ya wanaotaka. Yaani ukifikiri sana haya mambo kuoa itakuwa ngumu lakini haina budi.
 
Sio kwa muktadha huo mkuu, kwenye suala zima la ngono ndgu yangu tumewaacha mbali sana. Japokua anatafutwa na wengi ila anawakubali wachache na kusex na wachache vile vile mwanaume anatafuta wengi kwa mbinde na kugegeda wengi vile vile. Mwanaume kamili anaweza kugegeda hata madem 3 kwa siku kwa nyakati tofauti, ni wanawake wachache wenye uwezo huo. Hisia za mwanamke ziko mbali mkuu sisi ukiona titi imoo.

Wanaweza kuwa na hulka izo za kua viruka njia, ila yote kwa yote wanaume ni zaid ndgu yangu ndio maana wanajiuza na tunawanunua, ushawai ona mwanaume anajiuza 😂😂
ukijua tofauti ya hisia na tamaa ndio utaelewa zaidi ya hapo hauwezi kunielewa
 
Hahah tusidanganyane hapa nimeona wanaume wenzangu wengi wamefanya unayoyasema hayo sijui mpe attention mara vikolokolo vingi nabado wanawake wao cheat.

usidhani wanaume wote hatuwaelewi wanawake tabia yenu ya kufanya makosa na kumtafuta wa kumtupia mpira eti kuchepuka tunasababishiwa hata aibu hauoni mngekua ni maroboti mnakontoriwa kweli ningeamini .

samson alimpa delila attention na mahaba yote na bado alisalitiwa na huyu naye alisababishiwa ? Photifa alikuwa anamsikiliza mkewe na kumpa attention yote ila mkewe alitakulala na yusuf huyu naye alisababishiwa ?

aisee bado sana uongo huo kawadanganye bata wenzio
So!
 
Umenikumbusha miaka ile tunasoma
Unaambiwa kwenye mtihani "By your owns views jibu swali lifuatalo" halafu majibu yanakuja umekosa wakati uliambiwa " kwa mawazo yako" Tafsiri yake ni kuwa UMETOA Mtazamo au maoni ya HOVYO

by the way nimesoma Mtazamo wako nikakumbuka Mwalimu aliyekuwa anatupa maswali ya hivyo
Kiukweli wanawake waliopo ndani ya ndoa ni tatizo sana .

Kiufupi wale wanawake wanao jiuza ni wagumu kuwapata lakini sio wake za watu. Kumpata anae jiuza itakutaka ufanye kazi upate pesa za kwenda kumnunua lkn mke wa mtu unatakiwa kunionesha usijari na usiri tu basi unajilia kitumbua cha watu.

Trust me mwanaume kama huchezi mechi za nje kisa heshima kwa mkeo unajifanyia ukatili wa kufa mtu. Yaani unajinyima fantasy zako bure tu.

Ila kama huchezi kisa unatii maneno ya nyumba wako hapo sawa ila kama ni kwa ajili ya hawa ndugu zetu ...unajinyima vitu vizuri bure tu.

Na hao wake zenu ndio wanajitongozesha kwa wanaume trust me. Maana angejijua kuwa yeye ni mke wa mtu angeshinda nyumbani na familia na kuangalia mumewe.

Ukitaka kuamini kama wake zenu wanajitongozesha na kutafuta wanaume jiuliza utakuta labda mkeo ni mwalimu unakuja kumfumania na fundi ujenzi sasa hapo huyo fundi ujenzi wamekutana wapi na katika mishe gani....? Wakati nyumbani kwako hakuna ujenzi unao endelea? Au unakuja kumfuma na kinyozi wakati huyo mkeo hujawahi muona hata siku moja kanyoa zaidi ya kusuka na kuvaa mawigi.

So huyu kinyozi kapatikanaje? .maana kama mkeo anajua kuolewa na anaheshimu ndoa yake lazima takua na mambo machache utakuta kama ni mwalimu root zake ni shule , home ,church busy na vibustani nyumbani, jpili church, vipi watoto wanafanya nini na wanaendeleaje yaani vitu kama hivyo.

Namalizia kusema ukikuta mkeo anamazoea na wanaume ambao hawapo kwenye root yake jua mkeo anatongoza wanaume wamfilimbe na vijana wanamfilimba kweli hadi wanaimba pele moto[emoji1][emoji1]

Wanaume zisugueni papuchi maisha ndio hayahaya hizo heshima mnazo zitafuta kwa wake zenu ni ujinga na upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom