Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Stress mbaya sana wakuu.. Tena za kuchapiwa ndo hatar zaidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi we jamaa unawaongelea wanawake gani.....?Sio kwa muktadha huo mkuu, kwenye suala zima la ngono ndgu yangu tumewaacha mbali sana. Japokua anatafutwa na wengi ila anawakubali wachache na kusex na wachache vile vile mwanaume anatafuta wengi kwa mbinde na kugegeda wengi vile vile. Mwanaume kamili anaweza kugegeda hata madem 3 kwa siku kwa nyakati tofauti, ni wanawake wachache wenye uwezo huo. Hisia za mwanamke ziko mbali mkuu sisi ukiona titi imoo.
Wanaweza kuwa na hulka izo za kua viruka njia, ila yote kwa yote wanaume ni zaid ndgu yangu ndio maana wanajiuza na tunawanunua, ushawai ona mwanaume anajiuza [emoji23][emoji23]
Hao hao unaowajua wewe.Hivi we jamaa unawaongelea wanawake gani.....?
Duh!....sijawagusa mkuu. Na nawaacha kama walivyo. Wakisikia sauti au uwepo wangu basi na wenyewe wapo.kimbia au weka 'rinda' rehani
Mkuu unanyimwa na yule aliekuwekea sumu na upupu?Huu uchunguz wa woman kupend ngn umetoa WAP mana nimenyimwa win ya 3 hiyi[emoji26][emoji26][emoji26]
Yani mke wangu wa ndoa aninyime wiki 3?[emoji848][emoji848][emoji848]hii inawezekanaje unanyimwa week ya tatu kuna manual ya namna ya kuomba nitakutumia pdf mkuu
Analoa nini??Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Ngoma drooTatizo ukijichanganya mbaazi zinakuhusu. Mke wa mtu anatoka nje ya ndoa peku,mumewe anatoka peku.
KwapaAnaloa nini??
Hilo si tatizo pia. Kama anafurahia maisha kwa kuwa mwaminifu acha awe regadless ya umalaya wa mkewe.Sio watu wanajiona mashujaa Kula wake za watu ...ila hapa wanaume tunawekana sawa ...maana Kuna wanaume wenzetu wapo ndani ya ndoa wanajinyima na kujizuia Kula mema ya nchi kisa kuwalindia heshima wake zao . Kumbe wake zao wapo busy kutembeza vitumbua vyao
"Analowa na kuliwa fasta"...rafiki hatari sana hii!!!Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,