Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Kwa kifupi bila kupepesa macho hao wenyr sifa hizo ni majini..sasa sijajua binadamu unaanzishaje mahusiano na majini..hayo majitu hayafai kabisa ni takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio unaona vijana wamegoma siku hizi ni kugeuza kina dada child bagWanaume mmekua waoga sana, kavipi msioe kaeni pembeni......
Tattoos? Kwel bongo nyoso😁1.amechora tattoos. Red flag.
2.ametoboa pua red flag.
3.Anavaa shanga 3+ kiunoni red flag.
4.anakunywa pombe red flag.
5. Mpenda shughuli/vigodoro ni redu flag.
6.haendi msikitni Wala kanisani red flag.
7.ni muumuni wa twerking red flag.
8.ana marafiki wa kiume wengi Red flag.
9.Round 4 za dakk 15+ hafiki kileleni red flag
10.anavaa vikuku red flag.
WAnawake wengi wenye viashiria hapo juu ni pasua kichwa
whozaaaa11. unamwita anaitikia whooozaaaa! red flag
we zombie haujui😂Tattoos? Kwel bongo nyoso😁
Kuna madem kibao hawana tattoos ila wanamaovu kibao kwny jamii,
Sema watanzania tuna ushamba wetu maana ukiona mtu anatattoo tayar tunamtizama kama mtu mwny maovu, kibaka,jambazi,muhuni,
Alf wakat huo huo tunasahau kama wabunge hawana tattoo na suti wanavaa kabisa
Lakin wana mambo meusi kinoma.
Watoto wa kiume wamekua dhaifu sana jamani.....Si ndio unaona vijana wamegoma siku hizi ni kugeuza kina dada child bag
So sad 😥
Aikoooo! wenye akili tu ndiyo waoe hao wengine waendelee na dronedrakelizationWanaume mmekua waoga sana, kavipi msioe kaeni pembeni......
Hah shkamoo dada Amehlotukivaa shanga mbili kishuka chini sio red flag[emoji276][emoji276][emoji276][emoji276]
🤣🤣🤣wazee wa mipira mibovu,,,,demu kazinguana na jamaa yake anakuja kwa hao jamaa na stress zake na wengi wanavyokua emotional jamaa hawalazi damu utasikia twende out ukapuguze mawazo na kama dem anapiga kinywaji akishalamba vichupa kadhaa anaenda kunyanduliwa na huyo jamaa,,,,haya mambo niliona sana enzi za chuo,,ogopa sana demu wako akiwa na kampani za wanaume halafu akwambie ni marafiki zake , wengi wanakulana kimasihara haoWale so called marafiki ni reserve boyfriends waiting for zamu zao
Halafu weweeee Missy Gf!Kwenye kikao cha juzi mmesema mnapenda shanga....tukazinunua...leo mnasema ni red flag...kuweni serious basi
Moral crisis ndio maana wasichana siku hizi wameamua waanze kutongoza wenyewe hata maeneo ya kawaida men wanakuwa shy than girlsWatoto wa kiume wamekua dhaifu sana jamani.....
Bff tufanye vinavyotupa amani, muoaji wa kweli hana itikadi km hizoKwenye kikao cha juzi mmesema mnapenda shanga....tukazinunua...leo mnasema ni red flag...kuweni serious basi
12. Hana kazi lkn amepanga chumba kimejaa mazaga. Red flag11. unamwita anaitikia whooozaaaa! red flag
pombe kunywa ukiwa na mtu wako au upo nyumbani haipendezi mwanamke kulewa tena uo bar peke yako maana wote tunajua madhara ya pombe ikishapanda kichwani..Pombe ni kwa ajili ya wanaume tu???
Kabisa, hii single parent inachangia pakubwa....mtoto anakua hana uanaume ndani yakeMoral crisis ndio maana wasichana siku hizi wameamua waanze kutongoza wenyewe hata maeneo ya kawaida men wanakuwa shy than girls
Single parent effects!!