Mwanaume Unapotaka kuoa zingatia hizi red flags

Mwanaume Unapotaka kuoa zingatia hizi red flags

Aiseeeh! Vijana mtaoa kweli?

Bibi yenu na vishanga vyake ananipagawisha mimi .....

Zamani Muda wa kula huvaa na kuniambia "fanya hivi,vuta hivi,shika hivi" tukiwa mikao tofauti ila sasa nimezoea hadi tunakata muda mwingine na naenda kumnunulia namvisha kabisa!
 
Aiseeeh! Vijana mtaoa kweli?

Bibi yenu na vishanga vyake ananipagawisha mimi .....

Zamani Muda wa kula huvaa na kuniambia "fanya hivi,vuta hivi,shika hivi" tukiwa mikao tofauti ila sasa nimezoea hadi tunakata muda mwingine na naenda kumnunulia namvisha kabisa!
Unachapiwa sana mkuu
 
Siyo waoaji tu hata kwa faida ya wote, vaa double condoms ukikutana na hizo vichwa.
 
Hii laki saba nunua mbuzi wanne, majike matatu dume mmoja....baada ya miezi sita una mbuzi kumi.

Kataa ndoa
Kuna uzi mmoja nilikuta wanabishana kuna upande mmoja unasema Evelyn Salt ni mtu na heshima zake ila kuna wengine wakawa wanakataa..

Leo nimejua sasa ukweli ni upi 😂😂😂😂
 
Siyo waoaji tu hata kwa faida ya wote, vaa double condoms ukikutana na hizo vichwa.
 
Katoboa masikio mara mbili au tatu. Anapaka wanja mtindo wowote, anapaka rangi macho, anapaka lipstick ya kijivu au nyeusi.
 
1. Amechora tattoos. Red flag.
2. Ametoboa pua red flag.
3. Anavaa shanga 3+ kiunoni red flag.
4. Anakunywa pombe red flag.
5. Mpenda shughuli/vigodoro ni redu flag.
6. Haendi msikitni Wala kanisani red flag.
7. Ni muumuni wa twerking red flag.
8. Ana marafiki wa kiume wengi Red flag.
9. Round 4 za dakk 15+ hafiki kileleni red flag
10. Anavaa vikuku red flag.

Wanawake wengi wenye viashiria hapo juu ni pasua kichwa
Anaomba hela muda wote red flag
 
Wanao vaa shanga nawaonaga kama wachawi hivi
 
Back
Top Bottom