Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kabisa, hukawii kumtext mkwe mambo my.....😂 kula bia ila ukilewa usichat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, hukawii kumtext mkwe mambo my.....😂 kula bia ila ukilewa usichat
Hii laki saba nunua mbuzi wanne, majike matatu dume mmoja....baada ya miezi sita una mbuzi kumi.Mi hao wote napita nao tuu..
Kuhusu kuoa nasubiri mama anitafutie katoto kamoja ka form 4 huko mkwichu ndani ndani.
Unapata mtoto siled kwa laki 7 tuu
😂 pombe zikikata unaongezea mkwe mbele ya my.Kabisa, hukawii kumtext mkwe mambo my.....
Unachapiwa sana mkuuAiseeeh! Vijana mtaoa kweli?
Bibi yenu na vishanga vyake ananipagawisha mimi .....
Zamani Muda wa kula huvaa na kuniambia "fanya hivi,vuta hivi,shika hivi" tukiwa mikao tofauti ila sasa nimezoea hadi tunakata muda mwingine na naenda kumnunulia namvisha kabisa!
Kuna uzi mmoja nilikuta wanabishana kuna upande mmoja unasema Evelyn Salt ni mtu na heshima zake ila kuna wengine wakawa wanakataa..Hii laki saba nunua mbuzi wanne, majike matatu dume mmoja....baada ya miezi sita una mbuzi kumi.
Kataa ndoa
Nitag nikawape busara zangu za ndani kabisa.Kuna uzi mmoja nilikuta wanabishana kuna upande mmoja unasema Evelyn Salt ni mtu na heshima zake ila kuna wengine wakawa wanakataa..
Leo nimejua sasa ukweli ni upi 😂😂😂😂
Sio mda ngoja niutafute ahahahahaNitag nikawape busara zangu za ndani kabisa.
Anaomba hela muda wote red flag1. Amechora tattoos. Red flag.
2. Ametoboa pua red flag.
3. Anavaa shanga 3+ kiunoni red flag.
4. Anakunywa pombe red flag.
5. Mpenda shughuli/vigodoro ni redu flag.
6. Haendi msikitni Wala kanisani red flag.
7. Ni muumuni wa twerking red flag.
8. Ana marafiki wa kiume wengi Red flag.
9. Round 4 za dakk 15+ hafiki kileleni red flag
10. Anavaa vikuku red flag.
Wanawake wengi wenye viashiria hapo juu ni pasua kichwa
Kwa hiyo unakula eagle na balimi,au safariHivyo viko kama vijuisi vimenishinda, nakula vitu vizito 😹
Risk taker anavaa ndomuUnajiita Riskytaker na unaogopa wanawake hao🥲
Safari sema sahivi nikinywa kichwa kinauma, nimehamia mlimani kilimanjaro......😋😋😋Kwa hiyo unakula eagle na balimi,au safari
Piga Guinness Ile ya zamani alcohol 8.5 au bia bigwa kabisa hahahSafari sema sahivi nikinywa kichwa kinauma, nimehamia mlimani kilimanjaro......😋😋😋
Tena eti kuanzia 2 kwa tendo mojaRisk taker anavaa ndomu
Weeeeee bingwa watu walikua wanajipupulia.....ile ni gongo iliyochangamkaPiga Guinness Ile ya zamani alcohol 8.5 au bia bigwa kabisa hahah