Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sina huyo mtu unaemuita mtu wako nishindwe kujiburudisha nafsi yangu kisa????pombe kunywa ukiwa na mtu wako au upo nyumbani haipendezi mwanamke kulewa tena uo bar peke yako maana wote tunajua madhara ya pombe ikishapanda kichwani..
unajua nyie wanawake ndio familia yenyewe!
12. mablichi kama pacome, redflag11. unamwita anaitikia whooozaaaa! red flag
Hebu kula flying fish 3 nakuja lipa hapoSina huyo mtu unaemuita mtu wako nishindwe kujiburudisha nafsi yangu kisa????
Tena ushantia hamu ya bia hapa
Hela si yako kula bia mama πSina huyo mtu unaemuita mtu wako nishindwe kujiburudisha nafsi yangu kisa????
Tena ushantia hamu ya bia hapa
kama ni wa kaskazini sikulaumu maana hiyo ni desturi ya watu wa huko na wanajua kuzimudu shida ni hawa wa dada wa kimjinimjini wanavamia vitu na life style huku hawajui..Sina huyo mtu unaemuita mtu wako nishindwe kujiburudisha nafsi yangu kisa????
Tena ushantia hamu ya bia hapa
π€£π€£Kwenye kikao cha juzi mmesema mnapenda shanga....tukazinunua...leo mnasema ni red flag...kuweni serious basi
π€£π€£π€£π11. unamwita anaitikia whooozaaaa! red flag
Tena naitafuta hela nikanunue cheni kabisaπKwenye kikao cha juzi mmesema mnapenda shanga....tukazinunua...leo mnasema ni red flag...kuweni serious basi
nimependa hiyo signature yko ni nzuri sana..naomba tuwe marafiki!π€£π€£π€£π
Sina uhusiano wowote na kaskazini wala, furaha yangu ndio kipaumbele.....siwezi acha kwenda kushtua maini na nnapesa zangu kisa ni red flag kwa watu.kama ni wa kaskazini sikulaumu maana hiyo ni desturi ya watu wa huko na wanajua kuzimudu shida ni hawa wa dada wa kimjinimjini wanavamia vitu na life style huku hawajui..
Labda wako nikipanyaroad wanaume kama wako kuoa ngumu nawakiona ni umalaya tu mnajiona,mnakiherehere mnajifanya mnajua kila kitu1.amechora tattoos. Red flag.
2.ametoboa pua red flag.
3.Anavaa shanga 3+ kiunoni red flag.
4.anakunywa pombe red flag.
5. Mpenda shughuli/vigodoro ni redu flag.
6.haendi msikitni Wala kanisani red flag.
7.ni muumuni wa twerking red flag.
8.ana marafiki wa kiume wengi Red flag.
9.Round 4 za dakk 15+ hafiki kileleni red flag
10.anavaa vikuku red flag.
WAnawake wengi wenye viashiria hapo juu ni pasua kichwa
Hela si yako kula bia mama π
Hivyo viko kama vijuisi vimenishinda, nakula vitu vizito πΉHebu kula flying fish 3 nakuja lipa hapo
Wacha weeenimependa hiyo signature yko ni nzuri sana..naomba tuwe marafiki!
π kula bia ila ukilewa usichat
hili neno sisi wanaume huwa hatulipendi yaani kama unanizodoa vile.. !Wacha weee