Mwanaume Unapotaka kuoa zingatia hizi red flags

Sina huyo mtu unaemuita mtu wako nishindwe kujiburudisha nafsi yangu kisa????

Tena ushantia hamu ya bia hapa
kama ni wa kaskazini sikulaumu maana hiyo ni desturi ya watu wa huko na wanajua kuzimudu shida ni hawa wa dada wa kimjinimjini wanavamia vitu na life style huku hawajui..
 
Binafsi wanawake wenye tattoo nawakubali sana.
 
kama ni wa kaskazini sikulaumu maana hiyo ni desturi ya watu wa huko na wanajua kuzimudu shida ni hawa wa dada wa kimjinimjini wanavamia vitu na life style huku hawajui..
Sina uhusiano wowote na kaskazini wala, furaha yangu ndio kipaumbele.....siwezi acha kwenda kushtua maini na nnapesa zangu kisa ni red flag kwa watu.
 
Labda wako nikipanyaroad wanaume kama wako kuoa ngumu nawakiona ni umalaya tu mnajiona,mnakiherehere mnajifanya mnajua kila kitu
 
Mi hao wote napita nao tuu..
Kuhusu kuoa nasubiri mama anitafutie katoto kamoja ka form 4 huko mkwichu ndani ndani.
Unapata mtoto siled kwa laki 7 tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…