Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

Swali, Hii Kazi za kusugua miguu imepataje kuwa kazi ya kiume hapa bongo wakati nje ya nche wengi wanaoifanya ni wanawake , hasa hawa wenye asili ya ki Asia?
 
I can't complicate like this way,nitaanza kukomplicate kuhusu wanawake siku nitakapowaelewa kuwa wao huwa wanataka nini kwa wanaume,maana kumuchunga mwanamke ni sawa na kuchunga bahari eti watu wasivue samaki,maana ukilinda hapa,kule lazima wavue tu.

Mkeo utamzuia kuoshwa miguu sijui kusuguliwa kwa lengo la kumlinda asiliwe,utakuja mkuta kaliwa na bodaboda,shamba boy,au mtu yeyote,wanaume wenzangu naomba mtambue kuwa mnapowaowa hao wake zenu jueni kuwa mnawakuta wakiwa na meno 32 nikimaanisha ni watu wazima na wana maamuzi yao binafsi,sasa yanini kuhangaina nao kivile?


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ni kweli lakini bora usijue,kwa hiyo kwa sababu huwez kumlinda basi humwekei sheria?
 
Sitaki aoshwe wala simuoshi ikiwa mwanamke kuosha miguu tu itakate hawezi huyo ni mchafu na hanifai pia
issue sio kuosha kawaida inaoshwa kitaalam na kupakwa rangi, mbona kutwa mnawapa michepuko hela waende huko wapendeze ? hahahah
 
Nimekaa nimejiuliza sana lakini jibu linalokuja kichwani ni tofauti na ninayoyaona mtaani.

Rejea kichwa juu. Una mke/mchumba unaweza kumruhusu asuguliwe miguu na kuoshwa kucha na vijana wanaofanya biashara hiyo?

Una mume/ mchumba unaweza kukubali mumeo akafanye massage (kukandwa kandwa) na muhudumu wa kike? (Kumbuka hukandwi ukiwa na nguo zote) na ikiwa hakuna shida je kidume unaweza kukubali kukandwa na kidume mwenzio ili mkeo akwamini kuwa ni massage tu?

Msimamo wangu mimi nakataa hizo biashara zote full stop sababu zitakuja kwenye koment chini.

Naombeni kuwasilisha
Hayo hayazuiliki, huyo mke mpaka unampata alishapitiwa sana, hata kama umeoa bado anaweza liwa tu, Wanaume nao ni hivyo hivyo. kwa hio tatizo sio massage au kuoshwa miguu ni uamuzi wa mtu binafsi
 
Hayo hayazuiliki, huyo mke mpaka unampata alishapitiwa sana, hata kama umeoa bado anaweza liwa tu, Wanaume nao ni hivyo hivyo. kwa hio tatizo sio massage au kuoshwa miguu ni uamuzi wa mtu binafsi
Najua siwez mchunga muda wote lakini utatoa ruhusa afanyiwe? Au ukiona utakaa kimya kwa sababu alishaanzaga?. Kwa hiyo uoa mke ambaye sio bikra ruksa kula na wengine?
 
ukisikia analia ujue kalizwa na alie lizwa alisha liza

wanaume uko saloon unashikwa shikwa masikio mara kifua ukisafishwa kichwa au massage
je mkee au mchumba akikuona si unaweza kulia

acha mwanamkee asuguliwe kucha na pajaa

uwezi oshaa ujaoshwaaa
 
ukisikia analia ujue kalizwa na alie lizwa alisha liza

wanaume uko saloon unashikwa shikwa masikio mara kifua ukisafishwa kichwa au massage
je mkee au mchumba akikuona si unaweza kulia

acha mwanamkee asuguliwe kucha na pajaa

uwezi oshaa ujaoshwaaa
Unaunga mkono upande gani?
 
Back
Top Bottom