Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hypergamy is baked into the female brain. It works ruthlessly and swiftly. If she sees a better option, she won't hesitate to jump from her current branch to a higher branch.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time is a good teacher, descriptions zitapungua tuNinachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40 tu,
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,Kielimu minimum ni degree, usiwe na HIV,
😀😀 Umenikumbusha neno "dungu" aka BedfordUnataka mwanaume mrefu kwani unataka kuzaa mtoto mcheza basketball?
Masela wote mtaani umeshindwana nao hadi uje huku jf, k yako itakuwa imekula mileage ya kutosha kama injini ya dungu
Na watu wa ustawi walivyo na sifa sasa..Shida mnabadilikaga nyie mambo ya kuanza kupelekana ustawi wa jamii
Saa hizi unasema vizuri tu kwamba ni hiari kulea baadae uanze kumuendea jamaa kwa mkewe kuwa hatumi matunzo
Otherwise it's a good deal
Haaaa haaaa haaaa😀😀 Umenikumbusha neno "dungu" aka Bedford
Mkuu umejua kutembea kwenye nyuzi (perfect sniper entry)Mwanamke ni mtaji tosha na kwanza akawa mjanja kwanza akishatarget kuwa uwe na degree Mana anajua kwa kiwango icho utakuwa unacho something.
Wakiwa hata mia anawachuna yaani akisema kuwa ana shida ya alfu 20 kwa watu mia anayo 2M , assume anawapiga vizinga kwa muda wa mwezi mmoja ama Kila baada ya mwezi mmoja , wastani anapata kipato cha ziada. Mwanamke anapenda mno kula hela ya mwanaume na huwa wanaila na furaha ya ajabu mno. Hata awe na trillion mia tano bank Ila ukampatia ten lako analikubali mno na anaona kuwa Lina thamani,.
Kuna muuza mahindi choma bodaboda hataki kuzaa nao .
Wanawake wanajua mno trading, wanajua to buy low and sell high or
Sell high and buy low
Vigezo ninavyo,tatizo siyo mweupe,nimeoa,mtoto ataitwa kwa majina yangu,nitamuhudumia kwa kila kitu,wewe utaishi nae,meseji na simu za kila mara sitaki,nitakutafuta mimi,kama upo tayari DM.Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi-mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa, sina HIV,
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40 tu,
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,Kielimu minimum ni degree, usiwe na HIV,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Upatikane Mikoa ya Dar,Moro au Dom only
Zingatia sifa zote nnazotaka na ukiridhia za kwangu karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Sasa mbona kigezo cha umri umeweka mkubwa, utakosa watejaHabari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi-mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa, sina HIV,
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40 tu,
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,Kielimu minimum ni degree, usiwe na HIV,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Upatikane Mikoa ya Dar,Moro au Dom only
Zingatia sifa zote nnazotaka na ukiridhia za kwangu karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Miaka 31, bado bwana!Weka picha yako, tuthaminishe madam. Umri umeenda ujue
Muhimbili tayari wanapandikiza aende huko,sababu sasa mashart mengi wakati yeye hajaweka hata picha,wakipata wanawapa stress watoto wa watu mpaka wanaanza kulewa smart ginjizalishe mwenyewe
Yeah si anataka mtoto tu, naona mzabzab atafaa make ana kipaji cha kuzipiga bila kuwa na attachment 😁Ndo Ukaamua umsukumizie mwanamke mwenzio Kwa mzabzab 😅
Kama umeshapata toa update ili ijulikane na kuwatia moyo wengine ambao wanatafuta wanaumeHabari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi-mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa, sina HIV,
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40 tu,
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,Kielimu minimum ni degree, usiwe na HIV,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Upatikane Mikoa ya Dar,Moro au Dom only
Zingatia sifa zote nnazotaka na ukiridhia za kwangu karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com