The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Kazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa watu mna maneno😂😃😃Sogea chuo kilicho karibu nawe utaona majina ya waliohitimu degree weeeengi na picha zao,chagua muyajenge.
Aksante nakaribia mtoto mzuriKaribu kwenye email
HakikaHawa watu ni madarali wanawatafutia wadada wanaotafuta kuzaa na huyo muhitaji ndio anatoa hivyo vigezo wengi mnaweza kudhani kuwa huyu ndie muhitaji amkeni wazee Dunia ishabadilika hii zama zimebadilika...
ID yako ya zamani ni ipi? mambo ya kuja pm mara uniambie gesi imeisha, mjomba kameza shoka, ukute ww ni dume ila unajifanya mdada DestinyyyHabari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi-mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa, sina HIV,
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40 tu,
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,Kielimu minimum ni degree, usiwe na HIV,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Zingatia sifa nnazotaka na ukiridhia za kwangu karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Namkaribisha JAMIIFORUMSBabe unataka kusemaje?
Lucas na mbususu wapi na wapi ye kazi yake ni kububujisha machozi ya furaha tu huko ccmKwenye mambo ya mbususu ànakumbukwa mzabzab tuu. Lucas Mwashambwa vipi?
Mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhh!!Namkaribisha JAMIIFORUMS
🤣😂
Akina sisi hapa Ifunda ilitutengenezea njia kuendelea na mambo mengine.Hataki kilaza na hicho ni kipimo chake Cha IQ kitu ambacho siyo sahihi.
Kuna waliopata first class secondary schools wakachagua kusomea professional course flani mfano urubani, air traffic control, kwenda jeshini, e.t.c.
Zipo Sasa za ku donate?Mtego huo 😹
Donate sperm mwakani uanze route za ustawi wa jamii
Uelewa wa kimaisha
Mtoto na baba anayemkubali mtotoKwahiyo unataka mtoto na baba yake?
Njoo tuzungumze kwenye email plsKwa ambaye yuko Dodoma natoa huduma kama hiyo njoo inbox tufyatue
Vipi mama watoto, inanuka ama inanukia!?Mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhh!!
Nimelia sana😭😭😭Vipi mama watoto, inanuka ama inanukia!?
😂