Mwanaume unayehitaji sana mtoto..

Mwanaume unayehitaji sana mtoto..

Habari zenu jmn..

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari

Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa

Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,

Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,

Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom

Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
unahitaji mbegu ya aina gani haswa au kanyaga twende tu?

na hiyo mbegu itumwe kwenye email sio my lady?πŸ’

Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuambatana na hitaji lako, Aimen πŸ™
 
Ndoa hapana kwa sasa
Muhimu mtoto na co-parenting
Mtoto wetu akubalike na wazazi wote 2 baas


Hapo nimekupata Ila Kwa ustawi wa mtoto jaribu pia kufikiria Ku-trace background ya huyo unayetaka kuzaa nae

Maana nyie mnaweza kufa Ila ikiwa mtoto atapata Baba anayetoka familia nzuri maana yake itakuwa bora Sana.

Usijikite katika
Elimu, financial status, Ila just go deep
 
Back
Top Bottom