min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
ππππ kiasi chake shindikana.shindikana naona unanyatia nyatia, vipi vigezo unavyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ kiasi chake shindikana.shindikana naona unanyatia nyatia, vipi vigezo unavyo?
Hauna bwana, we tulia uleeπ€£ππππ kiasi chake shindikana.
ππ ngoja nitulie tuHauna bwana, we tulia uleeπ€£
Hapo ukipima oil unakuta iko chini sanaUnataka mwanaume mrefu kwani unataka kuzaa mtoto mcheza basketball?
Masela wote mtaani umeshindwana nao hadi uje huku jf, k yako itakuwa imekula mileage ya kutosha kama injini ya dungu
Iko chini sana halafu nyeusiiiii tii!Hapo ukipima oil unakuta iko chini sana
Punguza umalaya.
Tutazungumza private drSisi wenye asili ya kiarabu vipi tunakufaa?
Ni mazungumzo tu kwanzahuwa tunavutwa hivi halafu ukinasa unawekwa kikaangoni!, hapo utakaangwa utoke huna ngozi..π
Na wewe acha ungese.acha ushamba!
unamaneno matamu... πNi mazungumzo tu kwanza
Jiskie huru dr
Huombwi chochote wala kulazimishwa
Babe unataka kusemaje?KARIBU
ya kwamba babe wako anamkaribisha mrembo akachukue mbegu..π€£Babe unataka kusemaje?
unahitaji mbegu ya aina gani haswa au kanyaga twende tu?Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Nimelia sana mkuuπππππya kwamba babe wako anamkaribisha mrembo akachukue mbegu..π€£
ndo ujue babe wako ni donor!
Ndoa hapana kwa sasa
Muhimu mtoto na co-parenting
Mtoto wetu akubalike na wazazi wote 2 baas
jifute machozi unione babe mpya hapahapa ushapata na babe mpya haina kulemba ye si ameshuka mi napanda!!.. πNimelia sana mkuuπππππ