ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Ndio nazidi kuwa mfupi toka tulivyoachana siku ile.🤣🤣Kwani babe haujarefukaga tu? Vingine vinavumilika ila urefu🦧🦧
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nazidi kuwa mfupi toka tulivyoachana siku ile.🤣🤣Kwani babe haujarefukaga tu? Vingine vinavumilika ila urefu🦧🦧
Ndio maana ni hiariShida mnabadilikaga nyie mambo ya kuanza kupelekana ustawi wa jamii
Saa hizi unasema vizuri tu kwamba ni hiari kulea baadae uanze kumuendea jamaa kwa mkewe kuwa hatumi matunzo
Otherwise it's a good deal
Nimekuacha hapo mlimani juzi tu ulikuwa unarefuka, imekuwaje tena🙆♂️🙆♂️🙆♂️Ndio nazidi kuwa mfupi toka tulivyoachana siku ile.🤣🤣
Mitihani tu ya maisha ndugu, si kama unavyowazaUnataka mwanaume mrefu kwani unataka kuzaa mtoto mcheza basketball?
Masela wote mtaani umeshindwana nao hadi uje huku jf, k yako itakuwa imekula mileage ya kutosha kama injini ya dungu
Huwezi amini siku ile kidogo nikimbie, na huu uandunje nakutana na giant la kike...kidogo nile kona🤣🤣Nimekuacha hapo mlimani juzi tu ulikuwa unarefuka, imekuwaje tena🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Ndoa hapana kwa sasaUtapata
Ila before hatujazaa itapendeza tuandikishane tuwe na (Contract).
Maana ulichofanya umeamua kupitia back door ili kuifikia ndoa.
So kugeukana na kupelekana mahakamani au ustawi haifai.
Kwani wapare mko na shida gani🤣🤣🤣Huwezi amini siku ile kidogo nikimbie, na huu uandunje nakutana na giant la kike...kidogo nile kona🤣🤣
Ndio maana nikataka kile nilichotaka🤣🤣
Nina elimu kama hiyo, drs la 7 asijeona namdharauDegree ya nini?
Uelewa mpana wa maisha wa wazazi unasaidia maleziDegree inahusikaje kwenye kutia mimba?Au hiyo degree inakuwa genetically transmitted kwenda kwa mtoto?
Kama niliuona kwa mbaliKuna ule uzi wa Baba niruhusu nizae mbona kama nikiunga dots naona unaendana kabisa na huu?
Stop pointing fingers kwa hii breed iliyobarikiwa kuliko zote🤣🤣🤣Kwani wapare mko na shida gani🤣🤣🤣
Ndio mwonekano nnaopendaPamoja na umri wako huo kuwa mkubwa, bado ujajifunza nini maisha yanataka? Kiufupi ulichokiandika ni Nadharia tu, wala sio practical. Degree, urefu, maji ya kunde yanakusadia nini wewe kupata mimba na kuzaa?. Nakupa codes sasa bila unafiki, punguza masharti na ukipata mtu anayefikia 50% ya vigezo vyako, mnyakuwe faster kama mwewe, otherwise utaendelea kukomaa na kusinyaaa tu.
Tutapima, ni muhimu awe HIV negative kama mimiHakuna kupima?hahaha
Sio rahisi kumfata mwanaume ukajielezaMwamba umeshtukia mtego sio...
Kama kweli anahitaji mtoto tu, basi angeshamtunuku mchizi yeyote kitaa akamue mzigo...
Baba mtoto tuWw unatafuta Sperm donor.....? Au Mume....?
🤣🤣🤣🤣🤣Stop pointing fingers kwa hii breed iliyobarikiwa kuliko zote🤣🤣🤣
Uelewa wa kimaishaNashangaa kama shida ni mtoto na hakuna attachment zingine, suala la degree linaingiaje kwenye vigezo?
Maisha yana mitihani sanaKuna kitu kinafikirisha kutoka kwa mleta mada na waletewa mada.Hivi mleta mada umejiuliza maswali haya ,Hapo mtaani,kazini,kanisani,Msikitini Hujamuona wa kuzaa nae kweli?je uko Bikra yaani hujawahi kuwA na mahusiano? je huoni hili Tangazo lako linakuonyesha jinsi gani haustahiri kupata mwanaume mwenye vigezo tajwa? kwa kuwa nawaza kama Mama anatafuta Baba wa mtoto mitandaoni itakuwa sio fear kwa mtoto ninavyojua kuna watu kama 100 wana vigezo kama unavyovitaka kwa hiyo uwezekano wa kuliwa na midume zaidi ya mmoja ni uwakika,Kwa vigezo ulivyovitaja kwanza inatakiwa wewe Umlipe pesa huyo mwanaume vinginevyo huna tofauti na wanawake wengine wanaotafuta unafuu wa maisha kupitia Wanaume na nimalize kwa kusema wewe hujitambui tegemea kupata mwanaume hasiyejitambua kama wewe.
Si kweliHawa watu ni madarali wanawatafutia wadada wanaotafuta kuzaa na huyo muhitaji ndio anatoa hivyo vigezo wengi mnaweza kudhani kuwa huyu ndie muhitaji amkeni wazee Dunia ishabadilika hii zama zimebadilika...