Mwanaume unayehitaji sana mtoto..

Mwanaume unayehitaji sana mtoto..

Shida mnabadilikaga nyie mambo ya kuanza kupelekana ustawi wa jamii

Saa hizi unasema vizuri tu kwamba ni hiari kulea baadae uanze kumuendea jamaa kwa mkewe kuwa hatumi matunzo

Otherwise it's a good deal

Mwamba umeshtukia mtego sio...

Kama kweli anahitaji mtoto tu, basi angeshamtunuku mchizi yeyote kitaa akamue mzigo...
 
wakati wa Mungu ni wakati sahihi unaonaje ukimtafuta Mungu halafu ndio hayo mambo utapata sasa wewe hujui kuwa shetani na mawakala wake ndio wamepata chakula ? wewe unafikiria binadamu wote ni sawa .kuna wengine humu ni watoa kafara ooooh dada kuwa makini mtafute Mungu hicho kitu kitajileta chenyewe watoto mume pesa hazitakusaidia
 
Habari zenu jmn..

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari

Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa

Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,

Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,

Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom

Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com

Kigezo Cha Elimu kimeniengua, hata hivyo sipo kwenye kinyang'anyiro.
Upate hitaji la moyo wako.
 
Habari zenu jmn..

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari

Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa

Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,

Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,

Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom

Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Wanawake ni wajanja mno hawapotezi ama hawataki hasara yaaani wao always wanataka wanufaike na mahusiano. Mana anajua kesho atakuomba msaada. Hapa inatakiwa mou la sivyo ataanza kuleta vurugu kutumia mtt ili apate urithi asomeshwe.
Hoyaa zaeni kwa wake zenu achacheni kukojoa Kila mahala.
Yaani huyu ni kweli angekuwa mzuri angezalishwa akiwa olevo
 
Screenshot_20241208-225457.png
Screenshot_20241208-225522.png
Screenshot_20241208-225542.png
Screenshot_20241211-232226.png
 
Habari zenu jmn..

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari

Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa

Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,

Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,

Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom

Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Ww unatafuta Sperm donor.....? Au Mume....?
 
Habari zenu jmn..

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari

Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa

Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,

Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu,mweupe/maji ya kunde, uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,

Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom

Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Sogea chuo kilicho karibu nawe utaona majina ya waliohitimu degree weeeengi na picha zao,chagua muyajenge.
 
Mwamba umeshtukia mtego sio...

Kama kweli anahitaji mtoto tu, basi angeshamtunuku mchizi yeyote kitaa akamue mzigo...

Ikitokea mwamba risasi haziui na hazileti madhara inakuaje hapo?

Watu wanachukulia jambo la mtoto kama kitu kidogo sana. Kwamba unaweza kuzaa tu na mtu Kwa rejareja. Kama ma Ex tu wanasumbuana, itakujakua wazazi wenye mtoto? Haishii hapo kwenye mtoto tu.

Uko salama kiongozi?
 
Back
Top Bottom