Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Aaah wewe mzee wa matukio utanitoa roho kabla ya siku zangu!jifute machozi unione babe mpya hapahapa ushapata na babe mpya haina kulemba ye si ameshuka mi napanda!!.. 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wewe mzee wa matukio utanitoa roho kabla ya siku zangu!jifute machozi unione babe mpya hapahapa ushapata na babe mpya haina kulemba ye si ameshuka mi napanda!!.. 😂
Mtego huo 😹Nashangaa kama shida ni mtoto na hakuna attachment zingine, suala la degree linaingiaje kwenye vigezo?
nimekuwa sasahivi nakuahidi hakuna tukio utapigwa funguo moyo nizame, usiwe na choyo utanifanya poyoyo!.. ntakupenda kama nyuki apendavyo asali yake...🥰Aaah wewe mzee wa matukio utanitoa roho kabla ya siku zangu!
inaitwa nginjanginjaMtego huo 😹
Donate sperm mwakani uanze route za ustawi wa jamii
Mtego huu. Anataka anayejiweza sababu ni kulazimishana child support kwa nguvu.Shida mnabadilikaga nyie mambo ya kuanza kupelekana ustawi wa jamii
Saa hizi unasema vizuri tu kwamba ni hiari kulea baadae uanze kumuendea jamaa kwa mkewe kuwa hatumi matunzo
Otherwise it's a good deal
Hataki kilaza na hicho ni kipimo chake Cha IQ kitu ambacho siyo sahihi.Nashangaa kama shida ni mtoto na hakuna attachment zingine, suala la degree linaingiaje kwenye vigezo?
Daha! Hatimaye nimefikiwa. Sifa zote ninazo mimi tu hapa. Karibu mrembo tuyajenge. Angalia hiyo mbegu kwenye avatar yangu, halafu unipe mrejesho. 🤗Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi- mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40(below 40 basi uwe mtu unayejielewa&unaelewa maisha),
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,
Kielimu minimum ni degree,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama utapenda karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Unaelewa neno hiari?Mtego huu. Anataka anayejiweza sababu ni kulazimishana child support kwa nguvu.
Wanaume tuzidi kuwa makini sana ila kama unataka kutupa mtoto wako nenda kamwage mbegu zako hukuNdoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Kama mahusiano unapumzika It mean's ulikuwa na mtu kwenye mahusiano kwa nini usingeongea na huyo uliyehusiana nae kuhusu swala hilo? na pale ulipoweka vigezo tayari inaonyesha kuna kitu umelenga usidhani tulipenda kuzaliwa na wazazi tusiowachagau ila hiyo ndo maana ya maisha wewe unakwenda kinyume na maisha kwa hari hii tegemea msongo mkubwa kabisa wa mawazo huko mbele unaweza kukupelekea hata kujidhuru kwa Kuwa Akili yako inakuaminisha kwamba unaweza kupanga mambo yaliyo nje ya uwezo wako na uenda mama ako alitamani kuzaa na mzungu lakini haikuwa mpango wa Mungu Acha kuweka vigezo kwani hivyo vyote sio gerentii ya kupata mume unaetegemea kuwa baba wa mtoto wako anaweza ku mach hivyo vigezo ila matendo Shetani ni Mstaharabu kuwa makini Dogo.Maisha yana mitihani sana
Kuliko unavyodhani
Ndo mana nahitaji mtoto tu na baba ambaye atakubali mtoto pia
Mahusiano napumzika kidogo kwa sasa
Najiweza kimaisha hivyo sitafuti fedha kwa mwanaume
Dokta acha uogaUtapata
Ila before hatujazaa itapendeza tuandikishane tuwe na (Contract).
Maana ulichofanya umeamua kupitia back door ili kuifikia ndoa.
So kugeukana na kupelekana mahakamani au ustawi haifai.
Ila watu mna maneno khaa😃😂Sasa mkuu ukishaona mtu amekuja kutia huruma huku JF we unategemea kweli awe na nyash au sura ya kueleweka? Angekua nayo mbona zamani tu angeshazalishwa tangu yuko form 2 huko..😄😄
Mahusiano yana changamoto zakeKama mahusiano unapumzika It mean's ulikuwa na mtu kwenye mahusiano kwa nini usingeongea na huyo uliyehusiana nae kuhusu swala hilo? na pale ulipoweka vigezo tayari inaonyesha kuna kitu umelenga usidhani tulipenda kuzaliwa na wazazi tusiowachagau ila hiyo ndo maana ya maisha wewe unakwenda kinyume na maisha kwa hari hii tegemea msongo mkubwa kabisa wa mawazo huko mbele unaweza kukupelekea hata kujidhuru kwa Kuwa Akili yako inakuaminisha kwamba unaweza kupanga mambo yaliyo nje ya uwezo wako na uenda mama ako alitamani kuzaa na mzungu lakini haikuwa mpango wa Mungu Acha kuweka vigezo kwani hivyo vyote sio gerentii ya kupata mume unaetegemea kuwa baba wa mtoto wako anaweza ku mach hivyo vigezo ila matendo Shetani ni Mstaharabu kuwa makini Dogo.
Karibu kwenye emailSifa zote ninazo tatizo nipo mara!
Nifikirie na Mimi mzeewasenta