Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Aaah we!nimekuwa sasahivi nakuahidi hakuna tukio utapigwa funguo moyo nizame, usiwe na choyo utanifanya poyoyo!.. ntakupenda kama nyuki apendavyo asali yake...🥰
sema neno uniponye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah we!nimekuwa sasahivi nakuahidi hakuna tukio utapigwa funguo moyo nizame, usiwe na choyo utanifanya poyoyo!.. ntakupenda kama nyuki apendavyo asali yake...🥰
sema neno uniponye
😳😳 Nini shida!?Nimelia sana😭😭😭
🤣🤣🤣🤣🤣 zimekaushwaZipo Sasa za ku donate?
Acha kabisa🤣🤣🤣🤣🤣 zimekaushwa
😉 sema kituAaah we!
Aiseee 🤣 🤣 🤣 🤣Dada Mungu akupe sawa sawa na mahitaji ya moyo wako ikiwezekana na kuzidi
But Makosa Yale Yale yaliyokufikisha 3rd floor bila mtoto wala mahusiano ya kueleweka ndyo unaendelea nayo , Tukutane 40 when life begin ....
Hakyanani wanawake hampendani🤣🤣
Yaan nimekuzidi cm moja tu??Habari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi-mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa, sina HIV,
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40 tu,
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,Kielimu minimum ni degree, usiwe na HIV,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Zingatia sifa nnazotaka na ukiridhia za kwangu karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Pia suala la uchumi WA mwanaume, huenda pia likawa genetically transmitedDegree inahusikaje kwenye kutia mimba?Au hiyo degree inakuwa genetically transmitted kwenda kwa mtoto?
Ha ha ha....na keshasisistiza "UWE vizuri kiuchumi"huwa tunavutwa hivi halafu ukinasa unawekwa kikaangoni!, hapo utakaangwa utoke huna ngozi..😅
Sio dhambi jmn😃Ha ha ha....na keshasisistiza "UWE vizuri kiuchumi"
Natafuta WA kuzaa nae mwanamke ila naona vigezo vya umri nimeshindwa. Hata ungesema above 30 nisingekizi pia sio mweupe kwenye urefu nahisi ungenifikiria niko 173 cm . Kuhusu swala la elimu pia pengine ungenirudisha shuleHabari zenu jmn..
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari
Mi ni KE, miaka 31,
mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium,
Elimu - post graduate,Kazi-mwajiriwa
Kimaisha ninajitegemea na najipenda kama mwanamke
Sijaolewa,sijazaa, sina HIV,
Nahitaji sana mtoto wa jinsia yoyote na Baba mtoto ambaye naye anahitaji pia mtoto na ana hiari tulee wote kijana/binti yetu,
Ninachopenda
ME, umri zaidi ya miaka 40 tu,
Uwe single/married/divorced its okay..tutazungumza
Mwonekano uwe Mrefu, mweupe(mweusi hapana), uwe msafi/unajipenda na unajiweza kimaisha,Kielimu minimum ni degree, usiwe na HIV,
Ndoa kwa sasa hapana, kipaumbele ni mtoto bila masharti ya jinsia ya mtoto,
Mkoa Dar,Moro/Dom
Zingatia sifa nnazotaka na ukiridhia za kwangu karibu tuongee mengine via email
theroyalteawithjam@gmail.com
Kwanini bro😹Ha
Hakyanani wanawake hampendani🤣🤣
I don't fully match the details.Dr Restart vigezo unavyo😂
We unatafuta Laana sio Mtoto Mtoto hatafutwi hivyo kaa na watu uvae Viatu.Mahusiano yana changamoto zake
Sitafuti mume bali mtoto tu with a co-parenting agreement only
God forbidWe unatafuta Laana sio Mtoto Mtoto hatafutwi hivyo kaa na watu uvae Viatu.
Mwanamke ni mtaji tosha na kwanza akawa mjanja kwanza akishatarget kuwa uwe na degree Mana anajua kwa kiwango icho utakuwa unacho something.Mkuu ujibu email zetu , ucje ukatukubal 6 wote kwa pamoja tukupe mimba , mtoto wa mmoja atae wah alelewe na bab 6